Mbaya zaidi wameshindwa kuzifunika/kuziondoa ili zisiwachanganya watumiaji kwa muda huu ambapo hazijaanza kutumika. Kwa mtu mgeni na anayependea kufuata sheria alama hizo zinaweza kumsumbua sana.Huyo mtu aleyeidhinisha huo mradi wa kuweka hizo alama anatakiwa awe yuko lupango. Huo mradi haukuwa na maana yoyote. Bora hiyo pesa ingetumika kufunika mahandaki yaliyojazana kwenye bara bara za jiji. Mwaka wa nne sasa hizo alama hazitumiki. Mradi wa kifisadi. Inaonekana hakukuwa na upembuzi wowote kabla ya kuamua kuweka hizo alama.
kuna vitu vingi vinafanywa havina maelezo yani kama watendaji wamesafiri hadi wakirudi ndio tuone mabadiliko, cha kushangaza nao wanatumia barabara hizo hizo sasa sijui nini tatizo au ndio mambo ya who cares