Alama ya Taifa ni kitu gani?

Hume

JF-Expert Member
Sep 25, 2007
340
108
Hivi majuzi waziri wa miundo mbinu alizindua ndege mpya ya Air Tanzania.

Kilichonishangaza ni kuona ina muonekano(rangi) tofauti kabisa na ndege zetu tulizozoea kuona. Haina bendera ya Tanzania inayoonekana kwenye ndege hiyo zaidi ya twiga mdogo anayeonekana kwenye mabawa.

Swali lililonijia kichwani ni hili, je alama ya Taifa kwa sasa ni Twiga? Nikiona alama ya twiga popote itanifahamisha kuwa jambo hilo lina uhusiano na Tanzania?
 
wewe tuambie unataka alama gani ya taifa,weka facts hapa..kuna kitu najua unataka kusema,
 
Kwa mujibu wa Mzee Warioba alivyozungumza na waandishi..

Mengine yanashitusha. Umoja wa nchi hii unaweza kufika mahali pabaya. Yaani Rais anaitwa fisadi kwa sababu hizi na zile tu. Huyu ni mwanadamu kama wengine, lakini ndiyo symbol (alama) ya Taifa, ukishamwita fisadi na unakwenda unazungumzia hivyo hakuna uongozi wa Taifa.

Nadhani inabidi waweke picha Rais Kikwete pembeni ya yule Twiga!
 
Kama Tukiweka Picha Yake Na Yeye Anaendelea Kuboronga Haileti Maana Yoyote Ile , Taifa Sio Mali Ya Mtu Binafsi Taifa Ni La Watanzania Wote Lazima Tuwe Na Kitu Chetu Cha Kutuwakilisha Kama Yale Mawe Ya Mwanza , Mlima Kilimanjaro Na Alama Zingine Ambazo Haziko Sehemu Nyingine Yoyote Zaidi Ya Tanzania

Ahsante
 
tuewekee na picha inayoonesha rangi na alama ya sasa,we cant relie on you

Picha hii hapa......
atc.jpg
 
atcix9.jpg


Ndege ya atc inaonekana hivi....
 

Attachments

  • atc.jpg
    atc.jpg
    51.1 KB · Views: 198
hatutaki kuwakilishwa na picha ya fisadi hapo tafadhari..mjiheshimu!
 
hatutaki kuwakilishwa na picha ya fisadi hapo tafadhari..mjiheshimu!

Si unaona taifa stars walipo funga walikuwa wanaitwa JK boyz lakini juzi walipo fungwa wakaitwa taifa stars.

TUNA ALAMA NYINGI SANA ZA TAIFA ACCORDING TO NATIONAL WEBSITE.
1. Bendera yetu
2.Wimbo wa Taifa
3.wenge wa Uhuru
4.Ngao ya Taifa (simaanishi dawa ya mmbu)
ILA TWIGA SIJAONA KAMA NAYE NI ALAMA YA TAIFA< LABDA NI MNYAMA WA TAIFA


National Symbols



The National Flag



Ratio length to breadth: Three to two, e.g. 3ft. x 2ft., 6ft. x 4ft. 12ft. x 8ft.
Description: Green - Golden - Black and Blue, having the black center stripe centred on diagonal rising from flag-mast to top edge of the fly, two smaller golden stripes dividing the upper triangle portion which is green and the lower triangle portion which is blue.
Proportions of colours: Black center stripe, centred on diagonal of flag of 6ft. x 4ft., is 13/48 of fly and 13" wide. Golden stripes are each 1/16 of fly and 3" wide.
Colour Code and Significance: B.S. No. 2660: 1955

Black: B.S. No. 9-103 - the People

Green: B.S. No. 0-010 - the Land

Blue: B.S. No. 0-012 - the Adjoining Sea

Golden: B.S. No. 0-002 - the Mineral wealth

Uwiano wa Urefu
Kwa Upana:-

Maelezo:
Tatu kwa mbili, mfano ft.3 x ft.2, ft.6 x ft.4, ft.12 x ft.8
Ina rangi za Kijani, Dhahabu, Nyeusi na Bluu ambapo rangi nyeusi imepita katikati ya bendera kuanzia pembe ya chini kwenye mlingoti na kuishia pembe ya juu kulia. Rangi hii huigawa bendera katika sehemu mbili zenye umbo la pembe tatu. Rangi nyeusi imetenganishwa na pember tatu ya juu yenye rangi ya kijani na pembe tatu ya chini yenye rangi ya bluu kwa mistari miwili midogo yenye rangi ya dhahabu.

Viwango vya rangi na maana zake.
Nyeusi - Kiwango na. 9-103 - Watu

Kijani - Kiwango na. 0-010 - Ardhi

Bluu - Kiwango na. 0-012 - Bahari + Maziwa

Dhahabu - Kiwango na. 0-002 - Madini
Uwiano wa Rangi:
Rangi nyeusi kwa bender ya

Ft.6 x ft.4 ni 13/48 kwenda juu na

Ft.13 upana. Mistari ya dhahabu ni 1/16 kwenda juu na 3" upana kila mmoja.




The Tanzania National Anthem



KISWAHILI VERSION

WIMBO WA TAIFA

1. Mungu Ibariki Afrika

Wabariki viongozi wake

Hekima, umoja na amani

Hizi ni ngao zetu

Afrika na watu wake.



CHORUS:

Ibariki, Afrika

Ibariki, Afrika

Tubaki, watoto wa Afrika

2. Mungu Ibariki Tanzania

Dumisha uhuru na umoja

Wake kwa waume na watoto

Mungu, Ibariki

Tanzania, na watu wake.



CHORUS:

Ibariki, Tanzania

Ibariki, Tanzania

Tubariki, watoto wa Tanzania.




NATIONAL ANTHEM

FREE ENGLISH TRANSLATION 1. God Bless Africa

Bless its leaders

Let Wisdom Unity and

Peace be the shield of

Africa and its people





CHORUS:

Bless Africa

Bless Africa

Bless the children of Africa.

2. God Bless Tanzania

Grant eternal Freedom and Unity

To its sons and daughters.

God Bless Tanzania and its People.




images/nationalanthem.wav
CHORUS:

Bless Tanzania

Bless Tanzania

Bless the children of Tanzania







The Tanzania National Coat of Arms



The central feature of the Coat of Arms is a Warrior's Shield which bears a Golden portion on the upper part followed underneath by the United Republic flag of Green, Golden, Black and Blue; and a red portion under which are wavy bands of blue and white.

The Golden portion represents minerals in the United Republic; the red portion underneath the flag symbolizes the red soil of Africa; while the wavy bands represent the land, sea, lakes and coastal lines of the United Republic.

Superimposed features on the Shield are flames of a burning torch which signifies freedom, enlightment and knowledge; a spear signifying defence of freedom and crossed axe and hoe being tools that the people of the United Republic use in developing the country.

The Shield is set upon a representation of Mount Kilimanjaro. On each side of the Shield there is an elephant tusk supported by a man on the right and a woman on the left. At the feet of the man is a clove bush and at the feet of the woman is a cotton bush &#8211; thus indicating the theme of co-operation.

The United Republic motto &#8211; Uhuru na Umoja &#8211; is written in Kiswahili and it means &#8216;Freedom and Unity'.

The Uhuru Tourch



The Uhuru Torch symbolizes freedom and light. It was first lit on top of mount Kilimanjaro (5,890m) in 1961. Symbolically to Shine the country and across the borders to bring hope where there is despair, love where there is enemity and respect where there is hatred. Yearly there is the Uhuru Torch race, starting from different prominent places.
 
Si unaona taifa stars walipo funga walikuwa wanaitwa JK boyz lakini juzi walipo fungwa wakaitwa taifa stars.

TUNA ALAMA NYINGI SANA ZA TAIFA ACCORDING TO NATIONAL WEBSITE.
1. Bendera yetu
2.Wimbo wa Taifa
3.wenge wa Uhuru
4.Ngao ya Taifa (simaanishi dawa ya mmbu)
ILA TWIGA SIJAONA KAMA NAYE NI ALAMA YA TAIFA< LABDA NI MNYAMA WA TAIFA


[/COLOR][/B]
Mimi nadhani Twiga ni alama yetu ya Taifa, kibiashara, hasa kwenye mambo ya utalii, na ndiyo maana iko kwenye ndege zetu
 
Back
Top Bottom