Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza mwendo..Naombeni elimu kuhusu zebra Iliopo Sao hill mana hakuna hata kibanda zaidi ya huo mto na daraja so naomba nijue iyo zebra kaekewa nani?
Pia mbona kuna Kalavati, kama kuna anayevuka akishavuka anapita wapi?
View attachment 1696695
Hebu labda nieleweshe sijaelewa, kwa nini alama ya zebra ipo kwenye msitu wa Sao Hill?Sidhan kama ulielewa alichomaanisha, au jaribu kutumia logic kidogo tu.
Sure sio sahihiAngalia kwanza mazingira halisi ilipo hyo zebra, halaf uirudie comment yako
Hapo sawa, nimeelewa nadhani sio sahihiAngalia sehemu iliyopo ni darajani Joseverest
Aisee ni bonge la greenish treasurySao Hill ni eneo kubwa la ardhi lenye misitu ya kupandwa (pines, milingoti na miwati - tangu enzi za Mwalimu) pamoja na viwanda vya kuchana mbao na pia nguzo za umeme vikiwa ndani ya hilo eneo!
Linapatikana Mkoani Iringa, katika Wilaya ya Mufindi mbele kidogo tu baada ya kupita Mji Maarufu wa Mafinga ukitokea Iringa Mjini kwenye barabara kuu ya Tanzania - Zambia (TANZAM)
Sao hill kumbe kuna wanyama pundamilia naungana na wewe kama hakuna wanyama pundamilia kivuko cha pundamilia cha nini? Kinabidi kiwekwe barabara za mbugani kama mbuga ya Ruaha au mikumi au Serengeti
Mimi nikiwa naendesha gari hasa mijini nikipita na gari eneo la kivuko cha pundamilia huwa napita spidi ya kufa mtu sisimami sababu najua mjini hakuna wanyama pundamilia kwa hiyo binadamu akitokea eneo hilo nikimgonga sitasimama na hata akinipeleka mahakamani nitamshinda kuwa kile ni kivuko cha pundamilia yeye ni pundamilia? Kilichomfanya apite pale ni nini? Wakati yeye sio mnyama pundamilia
Hahahaa... Kwanini Mkuu?Aliyeweka hapo alama hiyo alikuwa mtungi
Ova