Zinaongeza hamasa kwenye mapenziSafi sasa hebu fanya kujibu hilo swali baada ya maboresho yako...hizo chuchu ndogo kwenye kifua cha mwanamme zinakazi gani?
una maana gani?Mkuu mbona kama io usanemu ya jinsia ya kiume
Hahahahaa dahMkuu ulipokuwa unatumia pesa kwa fujo kisa pasaka ulihisi ndo mwisho wa Dunia,
Una safari ndefu sana mpaka mwisho wa mwezi,
Kesho utakuja kuuliza makalio yana kazi gani
Ok ni lugha tu lakini naona imeeleweka na majibu yanapatikana. Acha waendelee na majibu....Usinge ita alama ya maziwa... Ungesa alama ya vichuchu..
Pengine hujaelewa swali. Pasaka haihusiki hapo ni swali la kitaalamu zaidi. Leta jibu lako kama unaloMkuu ulipokuwa unatumia pesa kwa fujo kisa pasaka ulihisi ndo mwisho wa Dunia,
Una safari ndefu sana mpaka mwisho wa mwezi,
Kesho utakuja kuuliza makalio yana kazi gani
Usilete swalanili kujibu swali. Andaa swali lako utajibiwa tuu.. huu uwanja ni mpana na una wataalamu balaa...Chuchu za wanawake nazo mbona nyeusi titi jeupe?
hii ni mpya kuna sehem kuzigusa kwa mwanaume tu ni kimbembe yani mwanaume utommaswe chuchu na kushikwa makalio? patachimbikaWengine wanapenda kunyonywa kabisa, sasa sijui wao yaliwekwa labda kwa starehe tu hata sijui
kwahiyo mkuu wewe ukishikwashikwa kwenye hizo alama kama alivyo ziita mtoa mada unahamasika kimapenzi?Zinaongeza hamasa kwenye mapenzi
Kitaalamu zaidi... this makes sense to me.
Indeed, nipples are made before the expression of the gender chromosomes so they appear in both males and females (Kwa sababu chuchu/maziwa yanatengenezwa kabla ya Kromosomu inayochombeza jinsia haijaanza kuchacharika na kufanya kazi, ndio maana chuchu/maziwa) yanapatikana katika jinsia zote mbili.
Mkuu ulipokuwa unatumia pesa kwa fujo kisa pasaka ulihisi ndo mwisho wa Dunia,
Una safari ndefu sana mpaka mwisho wa mwezi,
Kesho utakuja kuuliza makalio yana kazi gani
ha ha ha umetuita wadada vuzi huoni kama ni tusi ndio maana nimekwambia mwenyewe
Mwanaume (XY) na Mwanamke (XX). Maana yake ni kuna vitu ambayo mwanaume anavyo lakini mwanamke hana. Ndio maana mwanamke alitoka kwa mwanaume kumbuka Adam na Hawa, Alianza Adam kisha sehemu ya Adamu(X) ilichukuliwa kumtengeneza Hawa(XX).Ninatumaini Pasaka ndio imeisha kwa usalama,
Napenda kujulishwa kitaalamu hasa kwa waliobobea katika masomo ya baiolojia kipengele cha viungo na matumizi yake (anatomy and physiology).
Hivi alama za maziwa/ matiti kwa wanaume yana kazi gani hasa?
Na kuna vingine mwanaume hana ila mwanamke anavyo....zile alama za matiti ni za nini kwa mwanaume eti!?Mwanaume (XY) na Mwanamke (XX). Maana yake ni kuna vitu ambayo mwanaume anavyo lakini mwanamke hana. Ndio maana mwanamke alitoka kwa mwanaume kumbuka Adam na Hawa, Alianza Adam kisha sehemu ya Adamu(X) ilichukuliwa kumtengeneza Hawa(XX).