Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Wadau awali nilipata changamoto ya fikra thread hii niiweke jukwaa lipi ! Hatimae nikajiridhisha kua hata MMU itafiti, kwani nikikusudiacho kinaweza kuvunja/kuhatarisha MAHUSIANO & URAFIKI.
Kwamba inapotokea mikwazano ya kawaida baina ya mtu na rafikie, ama mtu na mpenziwe mmoja kati yao akimuoneshea alama ya ishara ya KIDOLE kirefu cha katikati mkonononi (haijalishi kiwe cha mkono wa kulia au kushoto).
Kidole hicho huashiriwa kwa kuelekezwa juu kikielekezwa kwa aliekusudiwa.
Nimeshuhudia hili mara nyingi na ambapo kifuatacho ni Dhahma, ugomvi, kupigana na amani kutoweka kwa wanaohasimiana. Binafsi yangu napatwa na mashaka kwamba hii ishara imepata ithibati kutoka Taasisi za kisheria kwamba ni tusi rasmi ?
Aidha naomba kuelimishwa, kama ishara hii iko recognise Mahakamani kua ni tukano ?
Nawasilisha.
Kwamba inapotokea mikwazano ya kawaida baina ya mtu na rafikie, ama mtu na mpenziwe mmoja kati yao akimuoneshea alama ya ishara ya KIDOLE kirefu cha katikati mkonononi (haijalishi kiwe cha mkono wa kulia au kushoto).
Kidole hicho huashiriwa kwa kuelekezwa juu kikielekezwa kwa aliekusudiwa.
Nimeshuhudia hili mara nyingi na ambapo kifuatacho ni Dhahma, ugomvi, kupigana na amani kutoweka kwa wanaohasimiana. Binafsi yangu napatwa na mashaka kwamba hii ishara imepata ithibati kutoka Taasisi za kisheria kwamba ni tusi rasmi ?
Aidha naomba kuelimishwa, kama ishara hii iko recognise Mahakamani kua ni tukano ?
Nawasilisha.