ALAMA ya 666 tuipokee, Itarahisisha mengi. Watu waache kupotosha.

Ukisoma maandiko utagundua kuwa kitu pekee kilichomwangusha mwanadamu hadi kufikia hapa tulipo sasa kwenye hali tata namna hii ni hicho wanachokiita UHURU
 
Leta hoja za kumpinga Kwa fact sio kuatack tu
Acha vioja bro hii ni Karne ya 21 amka kifikra Aisee hayo mnayoaminishwa ni hekaya tu Dunia inaenda kubadilika Kwa Kasi via high technology huo ndio ukweli mchungu ambao wafia dini hampendi kuusikia ila amini nakuambia utakuja kushtuka umechelewa maana ipo siku Dunia ikahama huu mfumo tuliopo na kwenda mfumo wa AI Kila kitu kitawekwa wazi mbaka hizo propaganda za dini zitakua open maana waliozibuni wataziachia taarifa wazi na kua verified,na ndipo mtagundua hii Dunia Ina mambo mazito kuliko mlivyodhani!
Muda utaongea!

huna unachokijua kitu gani kitakuwa wazi kwa mfumo wa AI mbona unaongea vitu ambavyo havina uhusiano wwte, tatizo mnamezeshwa vitu msivyovijua
 
kwani bibliq ilijuaje teknolojia ya wakati huu angali iliandikwa kipindi cha kale mfumo ambao unahitajika kutumika na kutuasa tuepuke nao ufafanuzi mtoa uzi
 
ALAMA YA 666 TUIPOKEE, ITATUSAIDIA KWA MENGI.

Kwa Mkono wa, Robert Heriel.

Kwa waliosoma jumbe zangu nyingi watagundua kuwa Mimi ni mwandishi wa maandiko huru. Nayaandika haya Kwa wapenda Uhuru, wenye Fikra huru, lakini Uhuru wenye maarifa yenye akili.

Sikatai Dunia inamakundi yanayohasimiana, kila kundi Kwa ufundi hutaka ushindi. Makundi yote mawili hutaka mamlaka na Utawala dhidi ya binadamu. Kuishi ni kuchagua kutawala au kutawaliwa. Vyovyote iwavyo lazima tuishi, kushindwa kuishi ni kushindwa kutawala hivyo kutawaliwa ndio mwanzo WA kushindwa.


Kundi moja hutaka kutawala watu wakiwa WATUMWA wakati kundi la pili hutaka kutawala watu wakiwa WATU HURU.

Naweza kuyapa majina makundi haya mawili ili kurahisisha Uelewa Kwa wasoma jumbe hii.

1. Kundi linalotaka kutawala watu wakiwa WATUMWA nimelipa jina " UTUMWA HURU (UTH 07)"

2. Kundi linalotaka kutawala watu wakiwa Huru nimelipa jina " UTASHI Huru ( UTH 06)"

Nitatumia "UTH 07" na " UTH 06" Kama code zinazowakilisha makundi tajwa hapo juu.

Code 06 ni namba inayowakilisha utawala/ milki ya binadamu.

Code 07 ni namba inayowakilisha utawala/ milki ya miungu.

Wafuasi WA UTH 07 ndio waliochelewesha maendeleo ya Dunia Kwa sababu wanapenda kutawala watu wakiwa WATUMWA. Hawapendi watu wawe huru, na hii hupelekea watu kukosa ubunifu na uvumbuzi wa mambo yatakayomsaidia mwanadamu kuishi maisha ya Raha mustarehe.

UTH 07 ndio walioweka matabaka katika jamii ya mwanadamu,

Silaha kubwa ya UTH 07 ni Imani ambayo huijenga kupitia dini. Dini nyingi kama sio zote zinamizizi ya UTH 07.

Tofauti na UTH 06 ambapo silaha kubwa kwao ni Akili/utashi na maarifa, kupitia elimu ambayo ni matokeo ya tafiti.

Vita iliyopo sasa ni baina ya UTH 07 dhidi ya UTH 06 katika kuwania utawala wa kuongoza wanadamu.

UTH 06 hawanaga maneno mabaya kwa UTH 07 kwani moja ya kanuni zao ni kuwaacha watu wawe huru katika utashi wao. Hii ni tofauti na upande wa UTH 07 ambao ni wafuasi wa miungu isiyoonekana. Hawa huwa na majungu na kashfa Kama sio matusi Kwa wafuasi WA UTH 06.

Ni kawaida kumsikia Mfuasi wa UTH 07 akimtukana Mfuasi wa UTH 06 Kama Mfuasi wa Shetani.

UTH 07 kupitia dini wameshawatawala watu kifikra na kuwafanya watumwa. Hawapendi maswali mengi na Kwa vile wanaamini katika miungu basi nao hujigeuza sehemu ya miungu hiyo.
Ni ngumu Sana kumkosoa Mchungaji, Askofu, au Kuhani Kama sio Nabii Kwa wafuasi WA UTH 07 na huenda ikawa kosa kubwa Kwa atakayefanya hivyo. Kwani wao hulazimisha watu kutumia uoga kufikiri wakiita hiyo ndio Imani kwao.

Wafuasi WA UTH 07 wanapenda kuwekea watu visheria vyao kwani huwafanya Kama watumwa. Sheria za vyakula, kuwa ule hiki na usile hiki, vaa hivi na usivae vile, oa huyu na usiolewe na Yule. Basi ilimradi.

Mara nyingi huruhusiwi kuuliza Kwa nini nisile hiki na Nile kile, Kwa nini nivae hivi na nivae vile. Ukiuliza watakuambia unakufuru au hauna adabu.

Hii ni tofauti na UTH 06 ambao huruhusu Utashi huru kufanya kazi zaidi kuliko utumwa huru.
UTH 06 wao wakikukataza Jambo hutoa sababu ya kutokulitumia na unapewa na elimu ukitaka, pia unaruhusiwa kuuliza maswali yoyote yatakayokuja akilini.
UTH 06 hawakupi mipaka isipokuwa unapewa Uhuru katika njia yako isiingilie Uhuru wa mtu mwingine.

UTH 06 wamejikita zaidi kurahisisha maisha ya binadamu kuwa rahisi Kwa kuvumbua Teknolojia zitakazowarahishia wanadamu katika Mazingira wanayoishi.

Moja ya Teknolojia muhimu ni pamoja na mabadilishano ya Mali baina ya mtu na mtu au makundi ya watu ambayo huitwa Biashara.

Zamani kabla ya Teknolojia ya Pesa kuvumbuliwa na Wana UTH 06 kulikuwa na mfumo wa ubadilishano wa Mali Kwa Mali ambao Kwa lugha ya wakoloni huitwa Barter Trade system. Biashara zilikuwa ngumu mno katika mfumo huu.
Katika kurahisisha Biashara, au mabadilishano ya mali, bidhaa na Huduma Wana UTH 06 wakavumbua Mfumo wa Sarafu/pesa.

Mfumo huu wa kutumia pesa umerahisisha maisha yetu, wote tumashahidi, mpaka sasa mfumo huu upo.
Lakini kutokana na Ongezeko la bidhaa na Huduma kuwa nyingi mfumo wa Sarafu nao unapitwa na wakati.
Imeingia mifumo mipya Kama vile yakutumia Code za kieletroniki kupitia Benki au simu zetu.

Wana UTH 06 wanazidi kuifanya dunia iendelee kuwa sehemu salama na yakufurahia. Usalama wa pesa/Mali zetu unazidi kuimairishwa.

Teknolojia inavyozidi kukua itakuwa vizuri Kama Mifumo ya ubadilishano wa Bidhaa, Huduma na Mali utawekwa katika miili yetu.
Hiyo ndio Wana UTH 07 huita 666 na kuisema Kama alama ya mnyama au ya Shetani Jambo ambalo ni uongo wa mchana.

Wanachojaribu kuwadanganya watu na kuvumisha propaganda zao ni katika namna ya kutapatapa nafasi Yao isipokwe na Wana UTH 06.

UTH 07 hupenda kuwatumikisha watu katika utumwa wao wabaki kuwa wakubwa.

Niishie hapa.

Ni yule;

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Dar es salaam

Wewe ibilisi, mkubwa, una ujasiri gani wa kupingana na Mungu wewe? Unawezaje kusimama kwa ujasiri ukatangaza hadharani kwamba unapingana na Mungu aliyekuumba? Unajua siku ya kufa utakwenda wapi? Unamjua Mungu by the way au unadhani ni mpiga dili mwezio? Pumbavu sana wewe.
Namwomba Mungu akufundishe kitu ili uwe na adabu. Pumbavu sana.
 
Leta hoja za kumpinga Kwa fact sio kuatack tu
Acha vioja bro hii ni Karne ya 21 amka kifikra Aisee hayo mnayoaminishwa ni hekaya tu Dunia inaenda kubadilika Kwa Kasi via high technology huo ndio ukweli mchungu ambao wafia dini hampendi kuusikia ila amini nakuambia utakuja kushtuka umechelewa maana ipo siku Dunia ikahama huu mfumo tuliopo na kwenda mfumo wa AI Kila kitu kitawekwa wazi mbaka hizo propaganda za dini zitakua open maana waliozibuni wataziachia taarifa wazi na kua verified,na ndipo mtagundua hii Dunia Ina mambo mazito kuliko mlivyodhani!
Muda utaongea!
unaweza belive kwa upande mmoja au mwingine lakin maanaa kuna mengi kwenye hidunia hasa ukifwatiliia lakin bado haitosh kuamin kuwa mungu hayupo
 
Siku za mwanadamu si nyingi kiaje?
Ulitaka ziwe ngapi na Kwa sababu zipi?
Wewe ni fala tu, lifyoto na ndiyo sababu hata shule ulifail. Sasa uantafuta watu wa kuwapeleka ushtanini kwako kwa sababu kuna wajinga kama wewe. Pumbavu sana.
 
wew mwenyew bado mtumwa, tena utumwa wako mbaya kulko hata wa hao ulio waelezea, sio mbaya lkn umeanza kujitambua, ukwel ni kwamba kama ulivyoeleza 6&7 hawa wote ni wamoja na planner wao ni mmoja ambaye ana control wote hao na kuwafanya hawaelewan watengane, wasielewane( divide to rule) huyu ndye alieunda elimu+dini = utumwa wa akili.

Usijidanganye kwa kukwepa dini na kufuata sayansz ama kufuata dini na kukwepa sayans(666) maana unakuwa hakuna ulichokikwepa, nyuma ya pazia hawa ni wamoja na ningumu kutoka ktk ilo mpka utoke nje ya box, kunielewa ngumu sabbu ya vifungo vya akili toka sehem mojawapo kati ya hizo ama zote kwa pamoja,, wahuni walioleta dini ndyo hawa wali create colonial education& economic systems to control the whole world under western nations&USA, hawa ndyo wana miliki vikund mbalimbali vya ugaid, devil's worshiping such as illuminate&freemason, skull&bones, jesuits, na dini zotee uzijuazo, kubwa na ndogo, pamoja na miungu ya dini yote kwa majina tofaut tofaut, hata uyo mungu mnaemuabudu makanisan na misikitin ni miongon mwa washirika na wapanga njama wa haya mambo...

Ngumu kuelewa, na ujue kuwa unapoingia(kuzaliwa) dunian jua umekuja sehem isiyo salama, maana vita utaianza tangu siku hiyo kwa kupigwa chanjo mnazoita salama za akina ndui na nyingnezo, pia ktk makuz yako utakutana na utumwa wa akil ambao unaanzia kwa wazaz wenyew waliourith, pia utapokea utumwa mwngne tokea shulen na majumba ya ibada, bila kusahau aina ya vyakula unavyokula vitakuathir akil,nafsi na roho yako, mpka kufikia umri wa kujitambua utu uzima yaan 18years utakuwa umegraduate masters ya utumwa wa akili ambyo kamwe utoweza kuukwepa na huwez ukwepa mpka utakapopata funguo za maarifa mapya ambyo ni kama haya nitoayo ama watoayo wengine.....

Dunia si salama yaan ukikwepa hil, u akutana na lile basi tu kutimiza agenda za wakuu wa dunia hii ambao ndyo ao religions owners+ Technologies controllers= slave masters
 
huna unachokijua kitu gani kitakuwa wazi kwa mfumo wa AI mbona unaongea vitu ambavyo havina uhusiano wwte, tatizo mnamezeshwa vitu msivyovijua
wewe ndio umemezeshwa dini Ili wakucontrol uendelee kuishi kwenye utumwa wa kifikra hizo ni mbinu zilibuniwa miaka 1500 iliyopita Ili kutawala binadamu bila kutumia nguvu sababu via religion unakua brain washed,
Ndio maana wenzetu walishatoka huko nenda Kwa hao waliokuletea hizo dini hawana mpango nazo Tena sababu ni Expired,
Now binadamu anaenda kwenye high technology na anakua superhuman Kwa kuunganishwa na program maalum za Artificial Intelligence(AI)
Itakayowasaidia kuunganishwa na mifumo yote ya kidunia kuanzia huduma zote za muhimu na Kila raia atakua na uwezo wa kupata mahitaji yake ya msingi kiurahisi Kwa mfano taarifa zake muhimu za kifedha,malazi,makazi na ajira yote yatafanywa Kwa program maalum za computer
Ambayo hiyo kitu wafia dini mnaamini ni chapa ya mnyama na mnaipinga kumbe ndio mambo yanaenda badilika hivyo siku mkija shtuka mtajikuta mpo Dunia ya kipekeenu sababu mtakua hamna taarifa zozote Kwenye mfumo na hapo ndio mtajua hamjui mtakaposhindwa kufanya chochote sababu hata pesa haitakua Kwa cash ila Kwa mfumo
Wa kimtandao Ndio mwanzo wa kutaabika na kuona Dunia ngumu sababu ya ujinga wenu wa kuamini nadharia uchwara za dini

Yajayo yanafurahisha ndugu!

# team 666
 
wew mwenyew bado mtumwa, tena utumwa wako mbaya kulko hata wa hao ulio waelezea, sio mbaya lkn umeanza kujitambua, ukwel ni kwamba kama ulivyoeleza 6&7 hawa wote ni wamoja na planner wao ni mmoja ambaye ana control wote hao na kuwafanya hawaelewan watengane, wasielewane( divide to rule) huyu ndye alieunda elimu+dini = utumwa wa akili.

Usijidanganye kwa kukwepa dini na kufuata sayansz ama kufuata dini na kukwepa sayans(666) maana unakuwa hakuna ulichokikwepa, nyuma ya pazia hawa ni wamoja na ningumu kutoka ktk ilo mpka utoke nje ya box, kunielewa ngumu sabbu ya vifungo vya akili toka sehem mojawapo kati ya hizo ama zote kwa pamoja,, wahuni walioleta dini ndyo hawa wali create colonial education& economic systems to control the whole world under western nations&USA, hawa ndyo wana miliki vikund mbalimbali vya ugaid, devil's worshiping such as illuminate&freemason, skull&bones, jesuits, na dini zotee uzijuazo, kubwa na ndogo, pamoja na miungu ya dini yote kwa majina tofaut tofaut, hata uyo mungu mnaemuabudu makanisan na misikitin ni miongon mwa washirika na wapanga njama wa haya mambo...

Ngumu kuelewa, na ujue kuwa unapoingia(kuzaliwa) dunian jua umekuja sehem isiyo salama, maana vita utaianza tangu siku hiyo kwa kupigwa chanjo mnazoita salama za akina ndui na nyingnezo, pia ktk makuz yako utakutana na utumwa wa akil ambao unaanzia kwa wazaz wenyew waliourith, pia utapokea utumwa mwngne tokea shulen na majumba ya ibada, bila kusahau aina ya vyakula unavyokula vitakuathir akil,nafsi na roho yako, mpka kufikia umri wa kujitambua utu uzima yaan 18years utakuwa umegraduate masters ya utumwa wa akili ambyo kamwe utoweza kuukwepa na huwez ukwepa mpka utakapopata funguo za maarifa mapya ambyo ni kama haya nitoayo ama watoayo wengine.....

Dunia si salama yaan ukikwepa hil, u akutana na lile basi tu kutimiza agenda za wakuu wa dunia hii ambao ndyo ao religions owners+ Technologies controllers= slave masters
mkuu umeongea fact ambayo watu wengi watakupinga ila ndio ukweli wenyewe watu hawajui mbinu za Hawa wahuni mwanzo walibuni dini Ili kucontrol watu na wakafanikiwa Kwa kiasi kikubwa Sana ushahidi upo na Sasa wanakaribia kuupiga chini huo mfumo na kuja na mfumo mpya ambao ndio advanced via technology
Sasa wataweza kumcontrol binadamu Kwa kutumia computers Kwa kuwaingiza katika mfumo mpya ambao ndio tunaona hata bwana Elon musk anaufanyia majaribio makubwa wa Artificial intelligence (AI)
Utakaoweza kuingiza data kwenye bongo za binadamu kwenye computer na kujaza taarifa zote muhimu za binadamu Kama ajira,fedha na benk ,biashara,matibabu nk nk ambapo Sasa itakua rahisi Kwa Kila mtu kua na taarifa mhimu kwenye mifumo ya Dunia!
Hawa watu sio wajinga ajenda zao wamezipangilia vizuri na hakuna mtu atachomoka asilani!
 
Siku ukipata ukweli wa ufunuo wa Yohana hutarudia kuandika hoyo unayo sema fikra huru sijui mawazo huru na kujigamba wewe ni mwandishi makini. Lilith ameguagiza nini? Tueleze ukweli si kurukaruka.
 
Ukisoma maandiko utagundua kuwa kitu pekee kilichomwangusha mwanadamu hadi kufikia hapa tulipo sasa kwenye hali tata namna hii ni hicho wanachokiita UHURU
Haswaa, na tuumbe mwanadamu kwa mfano wetu sisi Hilo ni chanzo cha mwanadamu kujihisi ni familia ya MUNGU kumbe chuma si barafu.
 
Son of man, remember that you are mortal and in the end, God wins.

Have you seen a dead man? How helpless he is!!!!
Let not this breathe of life deceive you!!
That you speak to the point of blasphemy.
Have you thought of your death? Of your own Mortality? How You will lie covered with sand in your Grave?

Have you thought of how you walk, how you breath??
Are you even aware of your nature?
Do you see your intestines behind your belly? Your heart and your lungs behind your ribs??
Are you aware of them?
Your brain behind your skull??

Have you even thought of these things??

Your skeleton??
Or the skin and the muscles!!

Who arranged these things and kept them in order?
Don’t be deceived!!
Do you even know that the earth is floating in space??? How big is this space??
Have you thought of the nature of the sun, the moon??



Don’t be deceived...
A wise man is not obsessed with the beginning of things but how things end even for himself...
People are so amazed by the things created by man but failed to realize their body is the only complex and most advanced creation and they are not amazed with it.
 
Wewe ibilisi, mkubwa, una ujasiri gani wa kupingana na Mungu wewe? Unawezaje kusimama kwa ujasiri ukatangaza hadharani kwamba unapingana na Mungu aliyekuumba? Unajua siku ya kufa utakwenda wapi? Unamjua Mungu by the way au unadhani ni mpiga dili mwezio? Pumbavu sana wewe.
Namwomba Mungu akufundishe kitu ili uwe na adabu. Pumbavu sana.
huyo Mungu wenu ndio anawafundisha kupayuka hivyo Kama wehu,matusi,kuleta vioja badala ya hoja
Huyo Mungu wenu ana walakini anawafundisha vitisho vingi Sana na inaonekana ana jazba kubwa Sana
Leta hoja wewe umjibu mtoa mada acha vitisho uchwara ewe mfia dini unakwama wapi?

Karibu Kwa povu la buku jero ewe myahudi mweusi!
 
ALAMA YA 666 TUIPOKEE, ITATUSAIDIA KWA MENGI.

Kwa Mkono wa, Robert Heriel.

Kwa waliosoma jumbe zangu nyingi watagundua kuwa Mimi ni mwandishi wa maandiko huru. Nayaandika haya Kwa wapenda Uhuru, wenye Fikra huru, lakini Uhuru wenye maarifa yenye akili.

Sikatai Dunia inamakundi yanayohasimiana, kila kundi Kwa ufundi hutaka ushindi. Makundi yote mawili hutaka mamlaka na Utawala dhidi ya binadamu. Kuishi ni kuchagua kutawala au kutawaliwa. Vyovyote iwavyo lazima tuishi, kushindwa kuishi ni kushindwa kutawala hivyo kutawaliwa ndio mwanzo WA kushindwa.


Kundi moja hutaka kutawala watu wakiwa WATUMWA wakati kundi la pili hutaka kutawala watu wakiwa WATU HURU.

Naweza kuyapa majina makundi haya mawili ili kurahisisha Uelewa Kwa wasoma jumbe hii.

1. Kundi linalotaka kutawala watu wakiwa WATUMWA nimelipa jina " UTUMWA HURU (UTH 07)"

2. Kundi linalotaka kutawala watu wakiwa Huru nimelipa jina " UTASHI Huru ( UTH 06)"

Nitatumia "UTH 07" na " UTH 06" Kama code zinazowakilisha makundi tajwa hapo juu.

Code 06 ni namba inayowakilisha utawala/ milki ya binadamu.

Code 07 ni namba inayowakilisha utawala/ milki ya miungu.

Wafuasi WA UTH 07 ndio waliochelewesha maendeleo ya Dunia Kwa sababu wanapenda kutawala watu wakiwa WATUMWA. Hawapendi watu wawe huru, na hii hupelekea watu kukosa ubunifu na uvumbuzi wa mambo yatakayomsaidia mwanadamu kuishi maisha ya Raha mustarehe.

UTH 07 ndio walioweka matabaka katika jamii ya mwanadamu,

Silaha kubwa ya UTH 07 ni Imani ambayo huijenga kupitia dini. Dini nyingi kama sio zote zinamizizi ya UTH 07.

Tofauti na UTH 06 ambapo silaha kubwa kwao ni Akili/utashi na maarifa, kupitia elimu ambayo ni matokeo ya tafiti.

Vita iliyopo sasa ni baina ya UTH 07 dhidi ya UTH 06 katika kuwania utawala wa kuongoza wanadamu.

UTH 06 hawanaga maneno mabaya kwa UTH 07 kwani moja ya kanuni zao ni kuwaacha watu wawe huru katika utashi wao. Hii ni tofauti na upande wa UTH 07 ambao ni wafuasi wa miungu isiyoonekana. Hawa huwa na majungu na kashfa Kama sio matusi Kwa wafuasi WA UTH 06.

Ni kawaida kumsikia Mfuasi wa UTH 07 akimtukana Mfuasi wa UTH 06 Kama Mfuasi wa Shetani.

UTH 07 kupitia dini wameshawatawala watu kifikra na kuwafanya watumwa. Hawapendi maswali mengi na Kwa vile wanaamini katika miungu basi nao hujigeuza sehemu ya miungu hiyo.
Ni ngumu Sana kumkosoa Mchungaji, Askofu, au Kuhani Kama sio Nabii Kwa wafuasi WA UTH 07 na huenda ikawa kosa kubwa Kwa atakayefanya hivyo. Kwani wao hulazimisha watu kutumia uoga kufikiri wakiita hiyo ndio Imani kwao.

Wafuasi WA UTH 07 wanapenda kuwekea watu visheria vyao kwani huwafanya Kama watumwa. Sheria za vyakula, kuwa ule hiki na usile hiki, vaa hivi na usivae vile, oa huyu na usiolewe na Yule. Basi ilimradi.

Mara nyingi huruhusiwi kuuliza Kwa nini nisile hiki na Nile kile, Kwa nini nivae hivi na nivae vile. Ukiuliza watakuambia unakufuru au hauna adabu.

Hii ni tofauti na UTH 06 ambao huruhusu Utashi huru kufanya kazi zaidi kuliko utumwa huru.
UTH 06 wao wakikukataza Jambo hutoa sababu ya kutokulitumia na unapewa na elimu ukitaka, pia unaruhusiwa kuuliza maswali yoyote yatakayokuja akilini.
UTH 06 hawakupi mipaka isipokuwa unapewa Uhuru katika njia yako isiingilie Uhuru wa mtu mwingine.

UTH 06 wamejikita zaidi kurahisisha maisha ya binadamu kuwa rahisi Kwa kuvumbua Teknolojia zitakazowarahishia wanadamu katika Mazingira wanayoishi.

Moja ya Teknolojia muhimu ni pamoja na mabadilishano ya Mali baina ya mtu na mtu au makundi ya watu ambayo huitwa Biashara.

Zamani kabla ya Teknolojia ya Pesa kuvumbuliwa na Wana UTH 06 kulikuwa na mfumo wa ubadilishano wa Mali Kwa Mali ambao Kwa lugha ya wakoloni huitwa Barter Trade system. Biashara zilikuwa ngumu mno katika mfumo huu.
Katika kurahisisha Biashara, au mabadilishano ya mali, bidhaa na Huduma Wana UTH 06 wakavumbua Mfumo wa Sarafu/pesa.

Mfumo huu wa kutumia pesa umerahisisha maisha yetu, wote tumashahidi, mpaka sasa mfumo huu upo.
Lakini kutokana na Ongezeko la bidhaa na Huduma kuwa nyingi mfumo wa Sarafu nao unapitwa na wakati.
Imeingia mifumo mipya Kama vile yakutumia Code za kieletroniki kupitia Benki au simu zetu.

Wana UTH 06 wanazidi kuifanya dunia iendelee kuwa sehemu salama na yakufurahia. Usalama wa pesa/Mali zetu unazidi kuimairishwa.

Teknolojia inavyozidi kukua itakuwa vizuri Kama Mifumo ya ubadilishano wa Bidhaa, Huduma na Mali utawekwa katika miili yetu.
Hiyo ndio Wana UTH 07 huita 666 na kuisema Kama alama ya mnyama au ya Shetani Jambo ambalo ni uongo wa mchana.

Wanachojaribu kuwadanganya watu na kuvumisha propaganda zao ni katika namna ya kutapatapa nafasi Yao isipokwe na Wana UTH 06.

UTH 07 hupenda kuwatumikisha watu katika utumwa wao wabaki kuwa wakubwa.

Niishie hapa.

Ni yule;

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Dar es salaam
Hapo nawewe bado hujathibitisha wala kutoa ushahidi kuwa hiyo 666 haitakuwepo wala kupata nguvu hapa duniani

Umetoa tu mtazamo wako
 
wewe ndio umemezeshwa dini Ili wakucontrol uendelee kuishi kwenye utumwa wa kifikra hizo ni mbinu zilibuniwa miaka 1500 iliyopita Ili kutawala binadamu bila kutumia nguvu sababu via religion unakua brain washed,
Ndio maana wenzetu walishatoka huko nenda Kwa hao waliokuletea hizo dini hawana mpango nazo Tena sababu ni Expired,
Now binadamu anaenda kwenye high technology na anakua superhuman Kwa kuunganishwa na program maalum za Artificial Intelligence(AI)
Itakayowasaidia kuunganishwa na mifumo yote ya kidunia kuanzia huduma zote za muhimu na Kila raia atakua na uwezo wa kupata mahitaji yake ya msingi kiurahisi Kwa mfano taarifa zake muhimu za kifedha,malazi,makazi na ajira yote yatafanywa Kwa program maalum za computer
Ambayo hiyo kitu wafia dini mnaamini ni chapa ya mnyama na mnaipinga kumbe ndio mambo yanaenda badilika hivyo siku mkija shtuka mtajikuta mpo Dunia ya kipekeenu sababu mtakua hamna taarifa zozote Kwenye mfumo na hapo ndio mtajua hamjui mtakaposhindwa kufanya chochote sababu hata pesa haitakua Kwa cash ila Kwa mfumo
Wa kimtandao Ndio mwanzo wa kutaabika na kuona Dunia ngumu sababu ya ujinga wenu wa kuamini nadharia uchwara za dini

Yajayo yanafurahisha ndugu!

# team 666

Wewe ndiye maana harisi ya shabiki maandazi
 
Back
Top Bottom