Alama (symbols) za Shetani zinazotumiwa na makampuni, vikundi vya dini na vikundi vingine.

Mathanzua

JF-Expert Member
Jan 4, 2017
15,810
20,653
Katika kitabu cha Hosea 4:6,Mungu anasema maneno haya,"Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa."Maneno haya ya Hosea ni kweli sasa kuliko wakati wowote mwingine.Watu wanaangamizwa na sumu mbali mbali,huku wengi wengine wakipotea kiroho.Ni kweli sasa hasa kwa sababu yapo makapuni mengi yanayozalisha bidhaa mbali mbali kwa nia nzuri na ovu. Vipo pia vikundi vingi sasa vya dini kuliko zamani ambavyo vinaeneza uzushi mwingi wa kupoteza.

Kwa bahati nzuri ni rahisi mara nyingi kuyatambua makampuni haya na vikundi hivyo kwa kuwa makampuni hayo na vikundi vina nembo na vinatumia pia alama mbali mbali kwa sababu mbali mbali.Alama hizo zipo pia kwenye bendera za maarifa mbali mbali. Inasemekana kwamba taifa la Marekani ndilo linaloongoza duniani katika matumizi ya nembo hizo.

Nembo hizo na alama ni message tosha juu ya nia ovu au nzuri ya makampuni hayo na vikundi kwetu.Kwa hiyo ni muhimu kuzifahamu alama hizo na maana ya nembo hizo,ili somehow tuweze kujihami.

Leo nita wakilisha nembo hizo na inshallah Mungu akijalia nitawakilisha maana ya nembo hizo.

Kwa kuwa alama hizo na nembo ni nyingi,na kwa sababu sitaki kunyooshewa vidole, nimeona ni vema kila mtu akaziangalia na kuweza ku-asses kama mahali alipo na anachofanya ni appropriate kulingana na kusudi lake maishani.

Kupata "alama hizo" au symbols, tafadhali google "Satanic symbols"halafu nenda kwenye "images." au fuata link hii satanic symbols - Recherche Google

Nembo na alama zingine zina vielelezo vya ziada,kwa hiyo kila unapofika kwenye nembo au alama click ili upate vielelezo hivyo.

Nitangulie kusema kwamba sina nia yeyote mbaya na kampuni yeyote, kikundi chote chote cha dini au mtu,nia yangu ni ku-impart knowledge, so that people can make informed decisions.
 
Endelea vivyo hivyo soon you will become kibwetere from Uganda.
 
Katika kitabu cha Hosea 4:6,Mungu anasema maneno haya,"Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa."Maneno haya ya Hosea ni kweli sasa kuliko wakati wowote mwingine.Ni kweli sasa hasa kwa sababu yapo makapuni mengi yanayozalisha bidhaa mbali mbali kwa nia nzuri na ovu. Vipo pia vikundi vingi sasa vya dini kuliko zamani ambavyo vinaeneza uzushi wa kupoteza.

Kwa bahati nzuri ni rahisi mara nyingi kuyatambua makampuni haya na vikundi hivyo kwa kuwa makampuni hayo na vikundi vina nembo na vinatumia pia alama mbali mbali kwa sababu mbali mbali. Nembo hizo na alama ni message tosha juu ya nia ovu au nzuri ya makampuni hayo na vikundi kwetu.Kwa hiyo ni muhimu kufahamu maana ya alama hizo na nembo.

Kwa kuwa alama hizo na nembo ni nyingi,na kwa sababu sitaki kunyooshewa vidole, nimeona ni vema kila mtu akaziangalia na kuweza ku-asses kama mahali alipo ni appropriate.Kupata "alama hizo" au symbols, tafadhali google "Satanic symbols"halafu nenda kwenye "images."au fuata link hii satanic symbols - Recherche Google

Nitangulie kusema kwamba sina nia yeyote mbaya na kampuni yeyote au kikundi chote chote cha dini,nia yangu ni ku-impart knowledge, so that people can make informed decisions.
Hayo yooooote ni Uzushi na Ujinga wa Watu weusi.

Hivyo ni vitu vya kutungwa.
 
Endelea vivyo hivyo soon you will become kibwetere from Uganda.
Sioni kwa nini niwe Kibwetere.Mwenye link asiwe Kibwetere mimi ndiye niwe Kibwetere.But why all the fuss. Kama huhitaji si unyamaze tu, kwani lazima u-comment.Au umeshikwa pabaya.
 
Badala ya kuhubiri neno la MUNGU UNAHUBIRI NENO LA SHETANI. WEKA ALAMA ZA MUNGU ACHANA NA SHETANI. IBILISI MKUBWA WEWE
 
Hayo yooooote ni Uzushi na Ujinga wa Watu weusi.

Hivyo ni vitu vya kutungwa.
Aliyeandika link sio mtu mweusi, ni mzungu!Unajidanganya,hivyo sio vitu vya kutunga.Vimetungwa ili iweje? Funguka wewe.Wenzenu wanataka kuwamaliza.Ndio maana mnawapa madini bure,wameshamaliza kazi.
 
Badala ya kuhubiri neno la MUNGU UNAHUBIRI NENO LA SHETANI. WEKA ALAMA ZA MUNGU ACHANA NA SHETANI. IBILISI MKUBWA WEWE
Ndio maana nimetangulia kusema "watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa," hayo ni maarifa mkuu. Na Mungu pia ameruamuru tuzijue hila za Shetani!
 
Badala ya kuhubiri neno la MUNGU UNAHUBIRI NENO LA SHETANI. WEKA ALAMA ZA MUNGU ACHANA NA SHETANI. IBILISI MKUBWA WEWE
Ibilisi hawezi kujifunua mwenyewe. Akijifunua ufalme wake hauwezi kusimama.Wewe unayetaka kumfichia siri zake nikuite nani?
 
Sioni kwa nini niwe Kibwetere.Mwenye link asiwe Kibwetere mimi ndiye niwe Kibwetere.But why all the fuss. Kama huhitaji si unyamaze tu, kwani lazima u-comment


Kibwetere, aliyasoma yaliyoandikwa kwenye izo hizo LINK kisha akawachoma waamini wake wote moto.

Kwa hiyo nawe endelea vivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom