Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 15,840
- 20,687
- Thread starter
- #41
Sawa mkuu, Biblia yanguNarudia watu wanaoamini mambo ya Freemasonry, Illuminati, uchawi, ulozi, uganga na story za kusadikika ni wajinga, hawajaelemika na delusional.
inaniambia kwamba uchawi,ulozi etc. and underground societies kama Freemasons,Jesuits,Knights of Templar,Skull and Bones nk.vipo,kwa hiyo nitaendelea kuamini.Wewe mjanja endelea kuamini unachotaka kuamini,huzuiwi,ila sisi wengine tafadhali usitukashifu, sio busara.