Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,519
- 12,613
Vyanzo vya kiintelijensia nchini Kenya vinaashiria madaktari wawili wa Cuba waliotekwa mjini Mandera Kaskazini Mashariki mwa Kenya mwezi Aprili wamelazimishwa na wanamgambo wa al-Shabab kujiunga na dini ya Kiislamu
Mateka wa Al-Shabab walazimishwa kusilimu - BBC News Swahili
Vyanzo vya kiintelijensia nchini Kenya vinaashiria madaktari wawili wa Cuba waliotekwa nchini Kenya wamesilimishwa kwa lazima.
bbc.in