Mpaka unaileta hapa je umesharipoti kwa vyombo veytu vya usalama? Hawa terrorists ni balaa wasije wakaharibu iid yetu na nchi yetu hebu wewe na huyo kijana ripotini hao wanazunguka kwa Kova, IGP na sehemu husika mara mojaWana jf,jana jioni baada ya futuru niliungana na waislam wenzangu hapa manzese kupashana habari mbalimbali. Kijana mmoja aliingilia mazungumzo yetu na kuanza kutoa hadidhi ndefu juu ya ujio wa kundi maja la waislam kutoka nchi moja ya jiran kwa ajili ya kuwaadabisha watu wanaoitumia sikukuu ya eid vibaya. Msimuliaji aliendelea kudai kuwa kundi la kwanza kuadabishwa ni ansar suna,alieleza kuwa kama kundi hili la waislam litasari sara ya eid sikumoja kabla ya waislam wengine basi wote watateketezwa palepale jagwani. Msemaji alieleza kuwa kwa sasa wataalam hao wa maangamizi wanaendelea kutembelea kumbi mbalimbali za starehe hasa zile zinazotangazwa kwenye vyombo vya habari kuwa zitakuwa na shughuri mbali za starehe wakati wa eid. Lengo la kutembelea kumbi hizi ni kuangalia namna ya kutekeleza maangamizi kwa ufanisi na kujiokoa. Jf hebu tu-discuss juu ya jambo hili kwa kina ili kuona ukweli wake na mwenye habari zaidi atujulishe.