Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
Usijeshangaa tv za kibongo zikazuiwa kuonyesha aljazeera kiswahili wale wenye madishi na receiver ndio wataipata kama free channel. Nandhani itasaidia kuwapa ajira waandishi wetu walioenda shule walau degree moja ya uandishi wa habari.
Tatizo kwa Tanzania waandishi wetu hawana uzoefu kama wenzetu utakuta mtu ni mchumi na ana taaluma ya uandishi wa habari au mhandisi au mwanasheria lakini ni mwaandishi.
Elimu yetu ya juu bado haikidhi malengo ya kutufanya tukajiajiri kulinganisha na mataifa mengine. Tusubiri kupata news za uhakika tena live kwani waandishi watapewa vifaa vya nguvu vya ku-report habari live.
Tatizo kwa Tanzania waandishi wetu hawana uzoefu kama wenzetu utakuta mtu ni mchumi na ana taaluma ya uandishi wa habari au mhandisi au mwanasheria lakini ni mwaandishi.
Elimu yetu ya juu bado haikidhi malengo ya kutufanya tukajiajiri kulinganisha na mataifa mengine. Tusubiri kupata news za uhakika tena live kwani waandishi watapewa vifaa vya nguvu vya ku-report habari live.