Al-Jazeera swahili channel is very dangerous for East African and their unity..

Usijeshangaa tv za kibongo zikazuiwa kuonyesha aljazeera kiswahili wale wenye madishi na receiver ndio wataipata kama free channel. Nandhani itasaidia kuwapa ajira waandishi wetu walioenda shule walau degree moja ya uandishi wa habari.

Tatizo kwa Tanzania waandishi wetu hawana uzoefu kama wenzetu utakuta mtu ni mchumi na ana taaluma ya uandishi wa habari au mhandisi au mwanasheria lakini ni mwaandishi.

Elimu yetu ya juu bado haikidhi malengo ya kutufanya tukajiajiri kulinganisha na mataifa mengine. Tusubiri kupata news za uhakika tena live kwani waandishi watapewa vifaa vya nguvu vya ku-report habari live.
 
heshima mbele mkuu..

Muda wa kuwa JF ilianzishwa kwa minajili ya GTs kukutana na kubadilishana fikra pasi na kuonana basi ni matumaini yetu kuwa pindi Al-Jazeera wataanza kazi GTs wataweza kupembua pumba na mchele. Sidhani kama kuna GT anahitaji kuambiwa nini cha kufanya.

Karibu Al jazeera katika uwanda huu wa waswahili ulete changamoto kwa wakoloni wetu wa zamani(waingereza na BBC yao na wajerumani na Deutchwelle yao) bila kusahau redio zetu za FM.
 
Hii sasa itaanza lini na studio zake zitakuwa wapi?Nafikiri ni vizuri ikawepo ili tuweza kupata changamoto za haja na coverage kubwa.
 
There is nothing new here>>>Hata hao waliopo BBC, DW. VoA wana'ripoti kile chenye manufaa kwa maboss wao..Let them come and Compete with the Big Boys!!
 
The news that Aljazeera Tv want to start swahili channel in east africa is disturbing , lets
beware with this channel its not the same al jazeera we know ....they have created hell in Libya ..a lot of lies , piles of lies and misinformation...they have completely destroyed Libya .....Qatar goverment the Usa purpets are supporting and supplying rebels ..al qaeda in libya....and al jazeera are falsifying every news they report about libya.....

They are not proffesionals they are biased and they just report what their Qarari sheikh wanted......

Because they have grudges with Gadaafi when he told them in Arab league that they work for USA to destroy Iraq and killing palestine...so now they want to detroy him and Libyan people.....and they are using al jazeera as their tool for lies against Libya Goverment.

Now they're spreading Lies on Syria and Syria is on fire ....this is aljazeera.......we must be very careful with this type of channels in our country....ours is very delicate society with religion tension on high rise during last year election..... am afraid with this powerful channel which serve the imperialist interest could destroy our peaceful country.

In Kenya tribes politics could be very much fueled and erupted more than last election...

We should not entertain and licence an HATRED and irresponsible channel like this .......otherwise our unity is at stake..


What UNITY, who told you we have UNITY in what you call east Africa? Do not make us fools, worrying for ALjazeera? Tell your leader to make themselves clean before its too late.
 
Duh! kumbe Aljazeera Swahili -East Africa imeletwa na RA? Au ulimaanisha nini mkuu @ EMT.

Yaani katika post yangu yote umeona maneno matatu ya mwisho tuu? Jaribu kutumia kichwa mkuu. Soma post yangu yote utajua nilikuwa na maanisha nini kwa kusema "Rostam kaona mbali".
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Yaani katika post yangu yote umeona maneno matatu ya mwisho tuu? Jaribu kutumia kichwa mkuu. Soma post yangu yote utajua nilikuwa na maanisha nini kwa kusema "Rostam kaona mbali".

Nimekupata mkuu, ila jaribu kuwa rational katika maneno unayotoa..epuka maneno ya kejeli.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Nimekupata mkuu..ila jaribu kuwa rational katika maneno unayotoa..epuka maneno ya kejeli...

Maneno gani ya kejeli mkuu? Kama Rostam angekuwa mbunge, Al jazeera wangecheki uwani kwake kuna nini. Si umeona wameanika hadharani mpaka bedroom ya Gadaffi. Talking about sera za uwazi na ukweli......
 
Media is a very strong thing in any country ki taluma ina onekana kama chombo cha dola cha nne hapa tz na kote duniani ,media ndizo zili chochea vita vya watusi na hutu ,ndio mana media haipewi uhuru asilimia mia ni chombo hatari sana ,kwasababu in uwezo wa kugeuza nchi na kuifanya inavyo taka, berlusconi kama nimepatia spelling ni kiongozi wa italy ana kashfa nying sana.

Lakini kutokana na uwingi wa vyombo vya habari alivyo navyo ndio maana hadi leo anakuwa kiongozi, kama haita tumika vizuri basi tume kwisha kama itatumika vizuri good for us we are safe, tabia zime badilishwa na media bila hiki chombo tusinge kuwa tulivyo sasa .kama aljazeera itakuwa tishio kwetu basi kuna sheria ya kubroadcast au news paper act ita zuia ,ndio mana magazeti kutoka nje haya uzwi nchini zina banwa na sheria hii.so tusiwe waoga.
 
Yaani katika post yangu yote umeona maneno matatu ya mwisho tuu? Jaribu kutumia kichwa mkuu. Soma post yangu yote utajua nilikuwa na maanisha nini kwa kusema "Rostam kaona mbali".

Maneno gani ya kejeli mkuu? Kama Rostam angekuwa mbunge, Al jazeera wangecheki uwani kwake kuna nini. Si umeona wameanika hadharani mpaka bedroom ya Gadaffi. Talking about sera za uwazi na ukweli......

Nilikua nimeshakupata mkuu ulichosema kwenye post yako wa msingi..nimeelewa the context ya RA kutajwa...I did a wrong judgement to the post..however, kwenye post yangu ya mwisho kabla ya hii nikakuomba kuepuka maneno ya kejeli uliyosema kwenye post yako No. 47, nanukuu, "Jaribu kutumia kichwa mkuu

Otherwise, cheers mkuu!
 


umesikia.uongo wa hawa jamaa ? Wamesema wao aljazeera na wameshhuhudia kwamba saif al gadhafi na muhamad gadafi wamekamatwa kumbe ni uwongo wao.....kwa nini waseme uongo? Wao ni channel ya nje ya libya kwa nii wawe upande wa rebels na nato? Kwa sababu hii ni channel inatumiwa kuharibu nchi zote ambazo hazima mfumo wa kisultani .....amabao ni puppets.....hawa ni hatari sana wa kuogopwa kuliko ukimwi.......

Mbona umechangamkia sana tenda ya kuibomoa aljazeera, lazima una lako wewe au umelipwa tayari? Hizo theories zako za kwamba aljazeera itatangaza hivi au vile ni ndoto za hewani kwani wao wenyewe wako kwenye business.

Na mbona husemi hivyo kwa CNN ambao ndiyo mabingwa wa propaganda?
 
For sure I agree with Macos, I was watching Aljazeera yesterday and then changed to RT was quite different, I do agree ,with this war Aljazeera has its own agenda, what they do provide to the world is not exactly what is happening in Tripoli.
 
scenerio inawezekana !au kwa kuongeza ile ishu ya 2001 pemba aljazeera ingekuwepo .anyway mi bado nataka ije hizi zote ni hofu zetu tu!
 
Tatizo viongoz wetu si wasaf, wanahofia maovu yao kutangazwa na waandish Wanaojua nn wanachopaswa kufanya si hawa wa kwetu wana itkad za kimakund kama CCM!. Karibu al jeezera.
 
The news that Aljazeera Tv want to start swahili channel in east africa is disturbing , lets
beware with this channel its not the same al jazeera we know ....they have created hell in Libya ..a lot of lies , piles of lies and misinformation...they have completely destroyed Libya .....Qatar goverment the Usa purpets are supporting and supplying rebels ..al qaeda in libya....and al jazeera are falsifying every news they report about libya.....

They are not proffesionals they are biased and they just report what their Qarari sheikh wanted......

Because they have grudges with Gadaafi when he told them in Arab league that they work for USA to destroy Iraq and killing palestine...so now they want to detroy him and Libyan people.....and they are using al jazeera as their tool for lies against Libya Goverment.

Now they're spreading Lies on Syria and Syria is on fire ....this is aljazeera.......we must be very careful with this type of channels in our country....ours is very delicate society with religion tension on high rise during last year election..... am afraid with this powerful channel which serve the imperialist interest could destroy our peaceful country.

In Kenya tribes politics could be very much fueled and erupted more than last election...

We should not entertain and licence an HATRED and irresponsible channel like this .......otherwise our unity is at stake..




Media Propaganda To Justify Attacks On Libya
for starters am a non supporter of the EAC plus TZ is not at peace kwahiyo GO on AL JAZEERA do you thing....
 
Last edited by a moderator:
Aljazeera ilianzishwa na wakoloni wapya karibu na vita ya Afghanistan kuanza.Ilipata nguvu sana wakati wa vita vya Iraq na inaweza kusemwa kuwa imefanikisha sana kupigwa na kupinduliwa nchi hizo.Kwa mwaka huu imefanikisha kuangushwa utawala wa Ghadafi kwa kumjengea uadui na wananchi wake.

Tunaposikia wanaanzisha channel ya Kiswahili huku tayari askari wa Marekani wanajidai kutoa chanjo za n'gombe na kujenga madrasa Pemba kwenye hazina ya mafuta ni lazima tuone ni sauti ya uchimvi ya bundi.
Wataivuruga East Africa na kuleta janga kubwa huku wakifanikisha malengo ya mabwana zao.
 
Back
Top Bottom