#COVID19 Al-Jazeera: President Magufuli claims, without evidence, that vaccines against COVID-19 are dangerous

Mlaleo

JF-Expert Member
Oct 11, 2011
13,357
9,737

Tanzania president raises doubts over COVID vaccines​

President John Magufuli claims, without evidence, that vaccines against COVID-19 are ‘dangerous’.

---
Tanzanian President John Magufuli has claimed that vaccinations against COVID-19 are dangerous and instead urged Tanzanians to protect themselves from the deadly disease by using domestic measures including steam inhalation.

Magufuli has long downplayed the seriousness of COVID-19, which has killed more than 2.1 million people worldwide. He has previously questioned the efficacy of imported COVID tests and urged people to pray to protect themselves from the coronavirus.

The president has resisted imposing strict lockdowns to contain the virus and his government has faced criticism over its secrecy regarding the outbreak in the East African nation, which has not published official COVID-19 statistics for more than six months.

“Vaccinations are dangerous. If white people were able to come up with vaccinations, a vaccination for AIDS would have been found, a vaccination for tuberculosis could have eliminated it by now; a Malaria vaccine would have been found; a vaccination for cancer would have been found by now,” Magufuli said in a speech on Wednesday in his hometown of Chato, northwest Tanzania.
He also urged the health ministry to be cautious with vaccines developed abroad.

The president offered no evidence to support his doubts about the safety of vaccinations, which are being administered across more than 50 countries, according to Our World in Data, after securing regulatory approval.

Magufuli’s warning comes a day after the Tanzania Catholic Church issued an alert over a surge in suspected COVID-19 infections in the country. In a letter addressed to church leaders, the president of the episcopal conference (TEC) warned of a possible new wave of infections.

The TEC Secretary Father Charles Kitima told the media that the Catholic Church had noticed an unusually sharp increase in the number of funeral services being held. He said that usually, there would be one or two requiem masses per week in urban parishes, but that now they were conducting the masses daily.

Since the apparent resurgence of cases, Magufuli has sent mixed messages to the public, at times urging people to follow expert advice but also mocking those who wear masks to slow the spread of the virus.

Despite anecdotal evidence suggesting a potential resurgence of infections, there are no official figures to indicate how widespread it might be, as the health ministry stopped releasing regular updates on COVID statistics last April.

Tanzania has reported 509 COVID-19 infections and 21 deaths in total, according to World Health Organization data.
 
Kama hamjui huku kunaidhihirishia ulimwengu kuwa Tanzania ina watu wasio na elimu na wenye vichwa visivyojua kufanya lolote, intelectual capacity ya hao ma rais na wengine watu wakubwa waliokubali kuchanjwa inaweza ikalinganishwa na yakwetu, wanao washauri wazuri na wenye akili kubwa sana ndio maana walikubali chanjo, sisi tunatoka msituni tunapinga basi tukae kimya tuendelee kuamini vichwa vyetu kama vilivyo. isitoshe mwenye akili yake timamu na mwenye maono na hekima hawezi kungangania madaraka wala kuiba kura ili apite. naishia hapo.
 
Wabongo tulizeni mishono, nchi nyingi wanazotoa chanjo,wanatoa kwa raia wao tu, mfano uingereza ni NHS(National Health Service) peke yao ndo wana hizo chanjo, ina maana private hospitals ambazo ndo mgeni anaruhusiwa kutibiwa hawana hizo chanjo.

Pia Pfizer na Moderna dozi moja ni $200, na inahifadhiwa katika sehemu za baridi sana, mazingira yake yanahitaji umakini wa hali ya juu kwani iki de frost lazima itumike.

US na Europe kuna shortage ya dose ya hizo vaccine, hivyo watu wa nyungu msiwe na wasiwasi

Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
 
Nimemsoma Magufuli akizungumzia ujio wa Corona mpya nchini kwanz amekiri ipo akidai imeletwa na watu walioenda kutafuta chanjo nje, hapa naamini lile tamko lake la kusema Corona hakuna Tanzania ndio kalifuta rasmi.

Lakini pia amekazania watanzania wasitumie kinga kwasababu wazungu hawatupendi, hiyo kinga anadai inaweza kusababisha tusizaliane kwa mtazamo wake anadai wazungu hawapendi tuzae.

No research, no right to speak; huyu mtu aliemtumbua yule mtoto wa Malecela NIMR kwasababu alitimiza majukumu ya kazi yake kwa kutoa taarifa ya kitaalamu nitamwamini vipi kwenye hii sababu yake ya wazungu hawatupendi? sio yeye ndio hapendi matokeo ya kazi za kitaalamu?

He is not a doctor or a pharmacist, but kwanini hupenda kuingilia taaluma za watu kwa kutoa majibu mepesi kwenye maswali ya msingi? hapa nikisema yeye ndio hawapendi wazungu ndio maana huwasingizia vitu asivyo na uthibitisho navyo nitakuwa nakosea?

Nikiri hapa, mtazamo wa Rais wetu kwenye hili jambo ni wa kushangaza na kusikitisha, sasa kama Rais hataki watu wake wajikinge kwa chanjo ambayo naamini ametumia hisia kusema hiyo chanjo sio salama kwa raia, na kusisitiza watu wajifukize.

Sasa huku kujifukiza kulithibitishwa na maabara ipi hapa kwetu wakati maabara ile ya mwanzo iliyopima mapapai walidai ilikuwa mbovu? na mtaalamu wake akatumbuliwa?
 
Hotuba bora kabisa kuwahi tolewa na Rais wetu tangu achaguliwe tena awamu ya pili ni hii ya leo!

Mtume S.a.w anasema 'Sema kweli japo ukweli unauma'

Rais Magufuli kasema ukweli ambao wengi wanaujua lakin hawathubutu kuusema

Hivi hamjui kuwa Wasichana wengi wa mjini hasa walau waliomaliza elimu ya Sekondari wanakabiliwa na matatizo ya Uzazi kutokana na chanjo walizodanganywa kuwa ni za kuzuia Mabusha ya kike na kansa ya shingo ya uzazi mwanzoni mwa miaka ya 2000?

Rais Magufuli ni shujaa wa kuuzungumza ukweli hadhran kuliko Rais yeyote aliewahi kutawala Tz tangu Dunia ianzishwe

Kuna Poyoyo wanamshinikiza Raia afunge nchi bila ya kutuambia ni nchi gani imeishinda Corona kwa hatua walizochukua?

Yaan tuache Nyungu na dawa zetu za mitishamba tulizothibitisha ubora wake sie wenyewe tukakabidhi mabega yetu kwny Machanjo ambayo hata Raia wao wenyewe wanatilia shaka pamoja na kampen zote walizofanya?

Kwny Corona nampongeza sana Rais wetu na namuombea kwa Allah Subhana wa taala aendelee kumpa ujasiri na uthubutu!

1) Aljazeera kwa unafiki wao wanataka evidence gani toka kwa Rais wetu kuhusu hizo chanjo wakati sote tunajua chanjo za Corona zime skip principle kadhaa muhimu za chanjo zote zilizowahi kutolewa na kuthibitishwa na WHO ikiwemo kufupishwa kwa muda kutoka miezi 18 hadi chini ya miezi 12 bila ya kutuambia athari za kuchepushwa huko

2) mbona chanjo hizo hazijapunguza waathirika

3) Waliopata hizo chanjo tumeshataarifiwa wanagongwa tena na Corona
 
Back
Top Bottom