Matukio katika picha.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Alhaj Abdulrahman Kinana, amejumuika na wananchi mbali mbali, viongozi, mabalozi, viongozi wa dini na wazee wa mkoa wa Tanga katika futari ya pamoja (leo) Jumapili 24 April 2022, iliyofanyika wilaya ya Korogwe.
Makamu Mwenyekiti amewasili mkoani humo akiwa katika ziara ya kukutana na kuzungumza na viongozi wa ngazi mbali mbali wa Chama Cha Mapinduzi pamoja na kukagua uhai wa Chama.
#ChamaImara
#KaziIendelee
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Alhaj Abdulrahman Kinana, amejumuika na wananchi mbali mbali, viongozi, mabalozi, viongozi wa dini na wazee wa mkoa wa Tanga katika futari ya pamoja (leo) Jumapili 24 April 2022, iliyofanyika wilaya ya Korogwe.
Makamu Mwenyekiti amewasili mkoani humo akiwa katika ziara ya kukutana na kuzungumza na viongozi wa ngazi mbali mbali wa Chama Cha Mapinduzi pamoja na kukagua uhai wa Chama.
#ChamaImara
#KaziIendelee