Al Gore Likely To Get Nobel Prize

Masanja,
Nakubaliana na wewe ktk sehemu nyingi sana ila hii ya mwisho ambayo umesema Giulian hawezi kumshinda huyu Mama ktk National election. Trust me on this yeyote toka Rep akisimama na huyu mama fainali atashinda! a bitter reality...not necessary the truth.
Babu hiyo ndio Fainali kombe uwanjani. Republican pamoja na makosa yote ya Bush watapata mwanya mzuri sana wa ku rebound ikiwa Clinton atasimama kugombea. Ikiwa hawa jamaa waliweza kupata weekness za Kerry dakika za mwisho, wakaiba Kura ktk chaguzi zaidi ya moja leo hii watashindwa wakisimama na Clinton.
Subirini fainali sasa hivi wanatazama ugonvi wa legue ndani ya Demokratic, fainali pale watakapo kuwa Rep vs Demo. Utamhurumia huyu Mama pamoja na kwamba ni mzoefu wa siasa za jikoni, subiri mambo yakifika Ukumbini ktk baraza la wazee. Atatafutiwa fitna wenyewe mtamhurumia.
kama alivyosema Mtanzania November 2008 haipo mbali na kwa dalili hizi za mama Clinton, Obama na Edwards nina hakika Rep watachukua tena kwani kinachogomba sasa hivi ni kuyaondoa majeshi Iraq tu. Rep wakifanya hivyo basi madhambi yote ya Bush yatabaki ya Bush...American Public wengi hawafahamu kabisa siasa za nchi yao nje zaidi ya kufikiria kuwa Marekani ipo Iraq kutoa msaada tu.
 
You might be right BOB, but in politics, nothing is ever certain. But my prob with Republicans this time around they wont have that popular card of "morality" against whoever Democratic Nominee is! Trust me, ile ni card kubwa saana kwa any republican. kuna sehemu kama Utah na kwingineko wameshasema wako tayari kubreak away ikiwa Rudy atapita, na well nilikuwa sijui lakini kuna ukristo mwingine ni zaidi ya uhafidhina. Republicans will hardly win bila support ya hawa wapiganaji wa MUNGU.

Na kumbuka in 2004 Bush alikuwa na msemo usemao "can you change a commander inchief in the midst of war" yes that among other things is what killed Kerry!
 
US bado inatawaliwa kwa kiasi kikubwa na conservatives...WASP. Itakuwa vizuri kama akishinda Hillary au Obama(not really) kiti cha uraisi. Lakini hiyo zaidi ni wishful thinking, kuliko hali halisi.

Watu kama akina Bush(Republicans) wamekuwa maraisi si kwa sababu ni wakali sana, ila wamesaidiwa na WASPs. Wakati huko kwa Democrats, inatakiwa juhudi ya superman kushinda hicho kiti....ndio akina Clinton(mr) hao.
 
.HILL CLINTON: WHILE THEY FIGHT SHE WINS

1. Is this it? That is the question that hangs over the Republican presidential field.

2. The answer is big, YES!, this is it no shining conservative on a white horse, no new Ron Reagan, is arrriving to re-make this race.

3. Newt Gingrich, is out, Fred Thompson like Mccain, have proved to be another flawed candidates, Ron Paul, is just having fun of it, someone has to win this race, but it is easier to find reasons why each candidate will lose rather than prevail.

4. Mitt Romney and Giuliani, are doing the best in early state and national polls respectively. They have been engaged in fierce battle of over their Conservative purity!

5. None of them past purity is a hallmark of anything to do with Conservatism, both were elected as moderate-to-Liberal Republicans in Liberal areas that would abide no other kind.

It is as if the candidates have not noticed that they are facing a likely Democratic candidate, in Hill Clinton, whose favorable ratings are itching up toward 50%, and Democratic Party with large leads in the polls on almost all issues and enormous advantage on fundraising. Gotcha games, Conservative bromides and ritualistic invocations of Reagan are not what the moment calls for, But, for the most part it is what Republicans are getting. Pound for pound, Giuliani might be the most talented among all Republicans, a political horseflesh in the field, an excellent debater and proven leader, But he will need all that talents and probably more to overcome pisitions on cultural issues that are badly out of step with Republicans, and a personal life as a Mayor that made Bill Clinton's look discreet!

From: Conservative Magazine
By: Lowry Rich.


Wakuu vipi hii article mnaonaje, nafikri ina some highlights nzuri concerning hii election!
 
Msee ES
Yeah.....ni safi sana mzee kuiweka hapa!! . Jamaa ana points nzuri sana.....lakini nadhani ni mapema sana kum-compare Freddie Thompson na McCainn kuwa wote ni hopeless candidates. Jamaa (mwandishi) atakuwa ni mtu wa "beltwayz" probably a dem clitonites strategist at work!!!
 
Heshima mbele mkuu, Majuzi niliangalia debate ya Republicans ambako kwa mara ya kwanza Fred Thompson, alishiriki kwa kweli alijitahidi sana, lakini ishus at hand you could sense kwamba za alikuwa ametayarishwa sana na handlers, maana alikuwa akiongea kama anasoma, halafu so far bado hafanyi vizuri kwenye polls kama ilivyotegemewa,

Mccain, tatizo tu ni kwamba hana hela za kampeni maana watoaji hawaamini kuwa anao ubavu, halafu na yeye umri unampa taabu sana, pia misiammo yake ya kuyumba yumba, na hasa kwenye Imigration Law, inamuondoa kabisa kwenye line ya Republicans, labda agombee kama independent,

Lakini anything is possible kwenye siasa, kwa hiyo huu uchambuzi wetu sio the final judgement, leteni vitu wakuu,

Anyway, ninaota siku bongo tutakapokuja kuongelea siasa yetu kama hawa jamaaa, yaani wao ni ishus tu!
 
Huyu mama anaweza kuwa anaongoza kwenye kura za maoni sasa hivi, Ila USA iko tayari kutawaliwa na Mwanamke ama coloured?
 
Msee ES,
Thompson ni movie star, kwahiyo yupo scripted all the time ndio maana alikuwa anaongea kama mtu anayesoma....ukweli ni kwamba hiyo ipo kwenye plan, kila mtu ndani ya GOP ana m-idolize Reagan. Kuna kitu aliongea Thompson ktk hiyo debate juu ya ku-fight "islamic fascism" ime-resonate sana ndani ya ma-christian conservatives in the south na pia imekamata attention kubwa sana ndani ya middle east. Mie nimejua hayo baada ya siku ya pili kutumiwa forward ya page ya al jazeera ikielezea hofu juu ya bwana huyu!!. Kimsingi hiyo ndio ilikuwa intended response, "look tuff".......kama unanitapa, al jize wameingia mtegoni na Thompson kalamba dume!!!. Usije shangaa hiyo kitu ika-translate kwenye votes in the primaries and therefore the general election.
Freddie pia ana support ya Hollywoody, ambayo maana yake ni "big bucks" za kununua air time za adds na mengineyo. Kuna channels kama USA, NBC, TNT na TBS zina run na ku-rerun episodes za law and order kama hawana akili nzuri......ma-pundits wanasema hiyo ni good news kwa Thompson kwani anacheza kama tough district attorney ktk series hizo. Kumbuka kwamba wamarekani ni wazembe wa kufikiria na they alwayz loose psychological battles kama hii!!.
Mwisho ni kuwa, marekani imechagua northerner mara moja kama rais JFK since reconstruction na hiyo ilikuwa in the 60s, kabla haijapata face lift ya civil rights.
Hilly kwao ni Chicago, alihamia tu Arkansas kwa kuolewa. John E ni southerner na WASPS lakini ni very weak ndio maana hata hakugombea re-election ya senate sit yake. Kwa historia hiyo fupi democrats ni mdebwedo in 2008!!.
 
Acadon,
Huyu mama anaweza kuwa anaongoza kwenye kura za maoni sasa hivi, Ila USA iko tayari kutawaliwa na Mwanamke ama coloured?
That is the question na hata sasa hivi hujasikia kabisa wakimponda Obama kwa rangi yake even though it is an issue.
Field marshal Es,
Mawazo ya watu ni mawazo tu kulingana na polls za maoni na hasa ndani ya chama chenyewe. Turudi ktk mifano ya Nyumbani Freeman alipita bila ushindani Chadema na labda kwa kura 99.9% lakini ilipofikia swala la Taifa Wadanganyika hawakuangalia tena sifa za mgombea ila chama Tawala kama vile mzuka wa Nyerere bado unazunguka. Ilitokea hivyo hivyo wakati wa Mrema na baadaye Lipumba.. Ndani ya CCM wenyewe kulikuwa na majina yaliyojitokeza zaidi ya Mwinyi na Mkapa lakini the last card holder inajulikana kuwa alikuwa mwl JKN.
Marekani ktk sura tofauti uncle ikifikia watu wawili mzee wangu utakuja nambia. Bush mzee kabla ya fainali na Bill Clinton approval rate yake ilikuwa kitu kama asilimia 80, hata wakadai kuwa he is unbeatable...well, madudu yalikuja geuka fainali mzee hata zile sifa zote za gulf war zilitoweka kama vile hakuwepo. Kwa hiyo huu ni mwanzo tu hakuna picha kamili zaidi ya kuwa politically correct! but the truth remain mwanamke, mtu mweusi, Mchina, Mwarabu na Wagalatia (watu wa kuja) wote hawawezi kutawala Marekani.
Haya ni mawazo yangu na nachosubiri hasa ni hiyo November 2008 kuona jinsi spinning zitakavyo jitokeza.
 
Mkandara,
Mawazo yako ni mazuri tu! lakini Bush senior alishindwa kwa mambo mawili.....moja ni economy stupid,ambayo James Carvile anachukua credit kwa ku-corn hiyo phrase. Pili..gulf war kwani ilikuwa ni disaster kwa standards zao na pia 'ubishi mzuri' wa yule Babu kukataa kwenda Baghdad kumwangusha Saddam. Bush sr alishawahi kuwa CIA chief, alijua "the march to Baghdad" haitakuwa na mafanikio kama tunavyoona hivi sasa. Lakini kukataa kwake kukamfanya a-loose popularity ndani ya chama chake hasa kwa ma-neo conservatives. Mwisho but not least ni Perot factor.....kwahiyo ile ilikuwa ni ballgame tofauti kabisa na hii inayojiri hivi sasa.
 
YournameisMINE,
Mzee wangu Bush katika swala la Iraq alichukua point zote!..maanake baada ya vita vile Marekani waliweka hadi flying zone ndani ya Iraq na pia economic sanction zilifanya kazi vizuri sana. Kifupi Saadam alikuwa kesha isipokuwa hizi siasa za mtoto Bush ndio ziliibua uongo mpya tu. The guy was done - Kaput dispite the fact kwamba wao walikuwa the second world most producing Oil.
Tuseme ukweli hapa baada ya vita ile kuna kitu gani Saadam alikifanya cha kutisha zaidi ya siasa za mtoto Bush na Chenney kuidanganya dunia. The guy didn't have even the army to defend his country! Tazama silaha walizokuwa wakitumia kabla ya Gulf ya kwanza na vita ya Bush mtoto.. 2 million republican Army zile scud missile, vifaru 1000 na ndege 300 za kivita tulizokuwa tukiambiwa zilikwenda wapi bmona hatukuona kitu. Sema tu Bush mtoto alijua kwamba kuna kazi ambayo baba yake hakuimaliza nayo ni kumwondoa kabisa Saadam na kuchukua mafuta yao.
Hata hivyo jaribu kukumbuka vizuri utagundua kuwa Bush alikuja shindwa ktk maswala ya uchumi iwe ilikuwa imepangwa mashambulizi ama ndio ukweli. Hata hivyo bado ni makosa yake mwenyewe ktk uchumi.. kama ulivyosema stupid economy.. Bush alikuwa kigeugeu sana mara kutaka kukubali baadhi ya sera za Demokratic kisha Promises promises..he couldn't keep. Inawezekana kuna mengine yaliyofichika lakini navyokumbuka hapo ndipo
Clinton aliyaweka mashambulizi yake zaidi na watu wakamsikia.
Kingine tena kama unakumbuka vizuri Clinton alikuwa wa mwisho ktk primary campain za Demokratic hadi waliposhuka huko South.. Muda kama huu Clinton was out of the top three, lakini by January or February mjomba alikuwa akiongoza.
Ndio maana nasema muda bado kabisa.
 
Mkandara,
kuna story hapa inajiri right now,history in the making kwenye "BIG GREEN MONSTER"......kwahiyo nisamehe kidogo, lakini nitakujibu kabla jua halijazama jumapili magharibi ya mbali!!!. Three balls,two strikes...red sox!.
 
Mkandara,
Mambo ya "Fenway Park," wajinga wameenda xtra innings na cellphone inaishiwa charge!! samahani sana.
 
BOB na wenzangu, unajua kitu kikubwa katika politics ni all about "wananchi". Unajua kama kwetu hapa bongo CCM wanatutake for granted kwa sababu wanajua wananchi ambao ndo "wapiga kura" hawaelewi kitu na hata kama wanaelewa njaa kali imewafanya wapoteze mwelekeo, ndo maana ni rahisi kwa Mzee Makamba na Kingunge kwenda pale kwetu Nyamagana na CCM Kirumba (kijijini kwetu wanapaita bomani) akaitisha mkutano na kuwaambia kwamba wakichagua upinzani wamechagua vita! na wananchi wakakubali, kwa sababu hawana uwezo wa kumake their choice na yote ni kwa sababu ya umaskini na njaa! na si hapa bongo tuu, ila sehemu yoyote yenye njaa..Latin America, Eastern Europe nk we are in the same basket!

lakini wenzetu wa magharibi wana upeo wa kuelewa, wanaangalia issues zinazowahusu! Na much as we cant predict politics, but I can assure you, Republicans kwa sasa hawana tena ile traditional card ya "morals na family values" against any body. Na remember kwa sasa Hillary madhambi yake yooote yako wazi kwa hiyo everybody knows her, no wonder dems are willing to have her on the ticket. Rudy akiingia na marriage tatu zilizoshindwa on his back, sijui utaanzia wapi kutetea family values na liberals hapo ndo watapata what to make out of!

Swala lako kuhusu mwanamke au mweusi kutawala USA, nadhani liko sahihi upande mmoja, ni kweli uwezekano wa mweusi kutawala ni bado mapema maana we can atleast borrow a leaf to what happened to Jesse Jackson. Lakini in USA history, they have NEVER had a woman of Clinton calibre vying for higher office! Anything tunachosema kwamba mwanamke hawezi kutawala, ni guessing we have never seen one, so how do we make such conclusions bila background yoyote ya kubase hoja zetu?

Whether we take it or otherwise, Hillary is a serios politician and even looking at her the way she advances her issues and agendas unaona kabisa huyu mtu alikuwa na malengo ya mda mrefu kwenye hii ofisi. Na Bob, one thing you have to remember, kwenye siasa ni maslahi, hawa Conservatives wanasupport Republicans kwa sababu wanaamini kwamba ndo chama kinaweza kuadvance maslahi yao, na kama unakumbuka Bush aliwaahidi vitu kibao, lakini katika promises zao zote hakuna hata kimoja ambacho wamekipata, kwa hiyo leo akitokea mtu mwingine aka-advocate their issues, wataondoka Republicans, na ukumbuke sasa hivi kuna Latinos, wamatumbi ambao wanaona Dems ndo watawasaidia kuadvance agenda zao...Man its all about maslahi.

But what Iam atleast sure of, this time around, Republicans wana chance ndogo kwa sababu ile dhambi ya "uongo" kuhusu Iraq itawaandama bado for sometime to come! Na wakiangalia na zile siku za Neema za Clinton akiwa W/house, basi Rudy or whoever anahitaji kazi ya ziada. And unlike us wasukuma tunaodanganywa kwa kanga na kitenge cha marehemu Mwatex, wenzetu bwana wanajua what is at stake! And thats what we call politics.
 
Msee ES,
Ndio wakali...lakini wamefungwa last night kwenye inning ya 11!!! game ilikuwa karibu masaa matano, kwenye mvua za rasharasha na kibaridi cha NE. Series tied 1 to 1, ina resume kesho in Cleverland.......wana possibility ya ku-win world series!!
Tukirudi kwenye main issue, ingia kwenye www.factcheck.org hapo utapata ka-uchambuzi ka last GOP debate na utaona scores za Freddie T. Slowly Rudy anaanza kuwa scrutinized kwa ukaribu.....i hope uta-enjoy na kupanua mawazo!!!.
 
This video can answer some questions.

[media]http://www.youtube.com/watch?v=crcOZh5eJXA[/media]
 
Back
Top Bottom