DreezyD98
JF-Expert Member
- Nov 6, 2020
- 1,503
- 2,662
Timu ya Al Ahly imefanikiwa kutwaa taji la CAF Champions league baada ya kuifunga Zamalek magoli mawili kwa moja.
Ahly walipata magoli yao kupitia kwa Al sulaya 5" na Kafsha 86". Goli pekee la Zamalek liliwekwa wavuni na Shikabala 31".
Ahly wanachukua ubingwa wao wa 9.
Pitso anaweka historia ya kuchukua kombe akiwa na timu mbili tofauti.
Ahly walipata magoli yao kupitia kwa Al sulaya 5" na Kafsha 86". Goli pekee la Zamalek liliwekwa wavuni na Shikabala 31".
Ahly wanachukua ubingwa wao wa 9.
Pitso anaweka historia ya kuchukua kombe akiwa na timu mbili tofauti.