alliJAY4_four
Senior Member
- May 4, 2017
- 173
- 94
Tujadili kuhusu hili... Je, kocha Patric Aussems atapata nafasi ya kurekebisha makosa yaliyojitokeza kwenye mechi dhidi ya As Vita kuelekea mechi ya jumamosi na Al Ahly?
ni kweli kiongozi, tatizo lingine ni kwamba simba wanacheza mpira as if waonekane bora kushinda yanga, hawaja-focus kwenye mashindano as mashindanoSimba inaenda kufungwa...ukweli mchungu, binafsi naona wachezaji wa Simba ndio hawaelewi wanataka nini, hawana hasira na ubingwa, wanachowaza wao ni mishahara minono tu..timu inabebwa na wachezaji wa nje, hawa wa ndani, moshi mwingi
10 bila mtaona simba watafukuza manara kwanza kisha kocha benxhi la ufund fumuuuuua
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha hahhahaaa manaraaaaNaomba kuwasilisha somo hiloo..tusije sumbuana baadaeView attachment 1009234
Sent using Jamii Forums mobile app