Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,418
- 3,681
Washenzi kama hawa ndio magereza inawafagilia
maybe na yeye ndio mchezo wake huo.sijapenda
post yako. unashauri angeenda kufanyia sehemu nyingine, so, sodomization of the young boy kwako is ok
Ila kwenu ni jambo la ajabu? kati yenu na hao wenzenu nani wana uzoefu wa kutumia kivuli cha iman kufanya hayo mambo?kwa hawa wenzetu ni kawaida
Unamaanisha hii??Ila kwenu ni jambo la ajabu? kati yenu na hao wenzenu nani wana uzoefu wa kutumia kivuli cha iman kufanya hayo mambo?
Hapana mkuu mi nimemuuliza tu huyo mbwigaUnamaanisha hii??
Padri adaiwa kumlawiti mtoto
Anhaa,Hapana mkuu mi nimemuuliza tu huyo mbwiga
Kwa akili za hivi tutachelewa sana kupana hata hivyo viwanda.Yani wew unaamini mungu ndo amesababisha huyo jamaa kukamatwa?Aiseeeh Mungu alitaka kumuumbua... inamaana hakuona sehem yeyote ile bali sehem ya ibada? Simanishi wala sisapoti kufanya kitendo hiko sehem yeyote ata kama s apo ila namanisha kua Mungu aliona kazid kaamua kumuweka sehem inayoonekana zaid ili mabaya yake yajulikane
Ni ipi tofauti ya Kujaribu na Utekelezaji!???,mana cjamuelewa mtoa mada.Kijana mmoja ambaye jina lake halikutambulika mara moja alikutwa na waumin wa msikiti wa MKURANGA- Mwembechai, Manzese DSM akimlawiti mtoto wa kiume miaka 12 katika vyoo vya msikiti.
Angalia zaidi video hapo chini