Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Video haifungukikijana mmoja amaye jina lake halikutambulika mara moja alikutwa na waumin wa msikiti wa MKURANGA- mwembechai, manzese DSM akimlawiti mtoto wa kiume miaka 12 katika vyoo vya msikiti
Nimejaribu kuonesha jinsi ambavo mwenyezi Mungu alitaka kumuunbuasijapenda
post yako. unashauri angeenda kufanyia sehemu nyingine, so, sodomization of the young boy kwako is ok
Hii post itachafuta sio muda.
Udhaifu wa Sheikh sio udhaifu wa msikiti , ahukumiwe kwa matendo yake na sio dini yake.
Hii comment haiko sawa, delete au edit. Inaleta maana mbaya kabisa.Aiseeeh Mungu alitaka kumuumbua... inamaana hakuona sehem yeyote ile bali sehem ya ibada?
Inamana angekua kichakani au guest ni ruksaAiseeeh Mungu alitaka kumuumbua... inamaana hakuona sehem yeyote ile bali sehem ya ibada?
Huenda sijaeleweka tu mkuu ila sikumansha hivo
Mbona sija ku quote wewe ndugu unajishtukia tu nime comments mimi kama mimi.Huenda sijaeleweka tu mkuu ila sikumansha hivo
Mkuu na wala hutoeleweka futa au edit tu uweke ulichomaanisha haraka kabla wasio na simile hawajakurukia uzi ukachafuka wakqti wqtu tunasubiri update kutoka kwa mleta uziHuenda sijaeleweka tu mkuu ila sikumansha hivo