ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 42,992
- 49,655
Kuna baadhi ya Nchi tunaweka nazo urafiki ila hazina maana Wala Msaada Kwa Tanzania.
Nchi kama Russia/Urusi kuwa nayo urafiki ni hasara kuliko faida..
Marekani Imewekeza Takribani Tilioni 11 ndani ya Tanzania na Mingi ya hiyo miradi ni yenye faida Kwa Tanzania..
Sasa wale pro Russia waje watuambie Kuna faida ipi ya Tanzania kuwa rafiki na Nchi kama Russia ambayo Haina Msaada wowote Kwa Tanzania? Russia kawekeza nini hapa Tanzania? Bora hata Iran Huwa wanatukopesha pesa na pia wanatoa scholarship Kwa watu Wetu na mafunzo ya kijeshi..
Nikiwa Kiongozi lazima nichukue mkondo wa kuwa bega Kwa bega na Marekani na sio hoa wengine.
===
Uwekezaji wa TZS trilioni 10.97 wa Marekani nchini Tanzania umesaidia zaidi ya Watanzania 50,000 kupata ajira za moja kwa moja. Habari hii njema imekuja siku chache kabla ya ziara ya Kamala Harris nchini Tanzania.
Uwekezaji huu umelenga katika sekta mbalimbali ikiwemo nishati, madini, miundombinu, utalii na kilimo. Kupitia uwekezaji huu, Tanzania imepata fursa ya kuimarisha uchumi wake na kujenga uhusiano mzuri na Marekani.
Kwa upande wake, ziara ya Kamala Harris inatarajiwa kuimarisha zaidi uhusiano kati ya Marekani na Tanzania na kufungua zaidi fursa za biashara na uwekezaji. Kupitia ziara yake, Kamala Harris atakutana na viongozi wa serikali, wafanyabiashara na wadau wengine ili kujadili namna bora ya kuimarisha ushirikiano kati ya Marekani na Tanzania.
Tanzania ina fursa nyingi za uwekezaji na biashara, na ziara ya Kamala Harris inaonesha nia njema ya Marekani katika kuimarisha ushirikiano huu. Ni matumaini yetu kuwa ziara hii italeta mafanikio makubwa kwa pande zote mbili na kuchochea zaidi ukuaji wa uchumi na maendeleo ya Tanzania..
Nchi kama Russia/Urusi kuwa nayo urafiki ni hasara kuliko faida..
Marekani Imewekeza Takribani Tilioni 11 ndani ya Tanzania na Mingi ya hiyo miradi ni yenye faida Kwa Tanzania..
Sasa wale pro Russia waje watuambie Kuna faida ipi ya Tanzania kuwa rafiki na Nchi kama Russia ambayo Haina Msaada wowote Kwa Tanzania? Russia kawekeza nini hapa Tanzania? Bora hata Iran Huwa wanatukopesha pesa na pia wanatoa scholarship Kwa watu Wetu na mafunzo ya kijeshi..
Nikiwa Kiongozi lazima nichukue mkondo wa kuwa bega Kwa bega na Marekani na sio hoa wengine.
===
Uwekezaji wa TZS trilioni 10.97 wa Marekani nchini Tanzania umesaidia zaidi ya Watanzania 50,000 kupata ajira za moja kwa moja. Habari hii njema imekuja siku chache kabla ya ziara ya Kamala Harris nchini Tanzania.
Uwekezaji huu umelenga katika sekta mbalimbali ikiwemo nishati, madini, miundombinu, utalii na kilimo. Kupitia uwekezaji huu, Tanzania imepata fursa ya kuimarisha uchumi wake na kujenga uhusiano mzuri na Marekani.
Kwa upande wake, ziara ya Kamala Harris inatarajiwa kuimarisha zaidi uhusiano kati ya Marekani na Tanzania na kufungua zaidi fursa za biashara na uwekezaji. Kupitia ziara yake, Kamala Harris atakutana na viongozi wa serikali, wafanyabiashara na wadau wengine ili kujadili namna bora ya kuimarisha ushirikiano kati ya Marekani na Tanzania.
Tanzania ina fursa nyingi za uwekezaji na biashara, na ziara ya Kamala Harris inaonesha nia njema ya Marekani katika kuimarisha ushirikiano huu. Ni matumaini yetu kuwa ziara hii italeta mafanikio makubwa kwa pande zote mbili na kuchochea zaidi ukuaji wa uchumi na maendeleo ya Tanzania..