SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,244
- 4,258
Baba mmoja kiziwi(asiyesikia) alipanda daladala aina ya chai maharage kutoka kijijini mwake kuelekea mjini. Huyu baba ni mtu asiyefahamu mambo mengi ya kisasa. Kutazamana naye huyu baba ndani ya hiyo chai maharage alikuwa abiria mmoja kijana aliyekuwa akitafuna big g.
Huyo baba akawa anamtazama sana huyo kijana wa big g. Alipofika mwisho wa safari yake, baba akanyanyuka tayari kushuka huku akimwaga yule kijana kwa kusema: 'Nashukuru sana kijana wangu kwa kujaribu kunisemesha muda wote wa safari lakini mimi ni kiziwi!
Huyo baba akawa anamtazama sana huyo kijana wa big g. Alipofika mwisho wa safari yake, baba akanyanyuka tayari kushuka huku akimwaga yule kijana kwa kusema: 'Nashukuru sana kijana wangu kwa kujaribu kunisemesha muda wote wa safari lakini mimi ni kiziwi!