Uchaguzi 2020 Akiwa Shinyanga Mjini Rais Magufuli anawataka Wananchi wasichague Mbunge wa Upinzani hata kama anafaa, kweli?

Hii kauli kama kichwa cha habari kinavyosema eti hakuna kuchagua mbunge wa upinzani hata kama anafaa.

Maneno kama haya kuzungumzwa na kiongozi mwenye dola ambaye anawania muhula mwingine wa uongozi ni kuhujumu uchaguzi mkuu.

Maneno kama haya kuzungumziwa wananchi ni kama kuwatisha kwa kuwanyima haki yao ya msingi ya kuchagua viongozi bora. Kauli hii haikubaliki kamwe.

Mbaya zaidi kauli kama hizi ndizo zinaleta mzozo mkubwa siku za kutangaza matokeo. Kimsingi kauli hii ninaiona kama imetoka katika kinywa kilichokosa ustaarabu mkubwa wa kisiasa. Mbaya zaidi anayezungumza ni kiongozi wa nchi anayehubiri kuwa maendeleo hayana chama.
Rais chagua Mkapa lakini mbunge ni chaguo lako by J K Nyerere 1995 Iringa mjini
 
Alete sera za maendeleo aache kutoa hotuba za chuki.
Hana cha kuongea wala kukumbusha. Nyimbo za uchumi wa kati, midege na madaraja ya Dar hazina mvuto huku vijijini. Wakulima kama si uwepo wa uchaguzi walikuwa wamekopwa for good. Hadithi za makinikia ni vichekesho vitupu vya akina Kabundi.
 
Kati ya wapiga Kura M29+ Kati ya hao ni 1.5M. Pekee ambao wapinzani watagawana hizo Kura,
Sasa jiulize, ni wepi ambao wanapaswa kupimwa akili na Afya ya Ubongo wao?

Je wale M37+ watakaompa Kura Magufuli ndio wakapimwe au wale 1.5M ndio wakapimwe akili, maana na wewe ni miongoni mwa hao 1.5M
Hizi hesabu zako zinaitwaje, au ndo Magufuliglus?
 
We fala kweli unajaza seva za watu na maswali yako ya kijinga. We unaweza kufungua duka alafu wateja wakija unawaambia wakanunue duka la jirani kuna vitu vizuri kuliko dukani kwako?
 
Hii kauli kama Kichwa cha Habari kinavyosema eti hakuna kuchagua mbunge wa upinzani hata kama anafaa.

Maneno kama haya kuzungumzwa na kiongozi mwenye dola ambaye anawania muhula mwingine wa uongozi ni kuhujumu uchaguzi mkuu.

Maneno kama haya kuzungumziwa wananchi ni kama kuwatisha kwa kuwanyima haki yao ya msingi ya kuchagua viongozi bora. Kauli hii haikubaliki kamwe.

Mbaya zaidi kauli kama hizi ndizo zinaleta mzozo mkubwa siku za kutangaza matokeo. Kimsingi kauli hii ninaiona kama imetoka katika kinywa kilichokosa ustaarabu mkubwa wa kisiasa. Mbaya zaidi anayezungumza ni kiongozi wa nchi anayehubiri kuwa maendeleo hayana chama.
Huyu ni rais wa tumbo lake na familia yake,mtu yoyote makini hawezi kutamani kufanya kazi na watu wasio faa.Nashangaa ni mtanzania wa aina gani anayeweza kupoteza muda wake kwenda kumsikiliza huyu incompetent
 
Wakuu tuache ushabiki maandazi, hata kama hatumpendi jee nyinyi mlitegeaaseme tofauti ?, au mnategemea Mbowe aseme umchague mwana CCM kwa ubunge hata awe ndugu yake. Tujitahidi kufikiri kidogo sio kupiga mayowe kwa kila kitu.
 
bado tuna mioyo ya unyani,miili inaonekana ni binadamu lakini ndani ni masokwe,itafika kipindi tutaaza kulana nyama hadharani
 
Kati ya wapiga Kura M29+ Kati ya hao ni 1.5M. Pekee ambao wapinzani watagawana hizo Kura,
Sasa jiulize, ni wepi ambao wanapaswa kupimwa akili na Afya ya Ubongo wao?

Je wale M37+ watakaompa Kura Magufuli ndio wakapimwe au wale 1.5M ndio wakapimwe akili, maana na wewe ni miongoni mwa hao 1.5M
wezi wa kura nyinyi ,ccm toka lini mkashinda
 
Ulitegemea ampigie kampeni wa upinzani.
Hivi kweli we kichwani zimo.
Upinzani nani umesikia akimpiga kampeni mwenzake ashinde.

Kanuni ya " Mtangulize mwenzako"
Ni kwa watu wa dini tu

Na wanasiasa hawana dini wala kanuni za Mungu hazitumiwi
 
Haaa,,,!!! Chadema kuna mambo mepesi yanawaumiza nafsi,,,!!!.
Aanze Lissu basi kuonyesha fair play aseme hivi"wanachadema kama kuna wagombea wa CCM wanaofaa muwape kura"
 
Kama wewe ni mshabiki wake basi inabidi ukapimwe akili, hauko sawa sawa wewe.
CHIZI PIA HUONA WENZIE NDO MACHIZI. HIVYO KIPIMO CHA AKILI/UCHIZI NI KIGUMU SANA.
Kila mtu ana Uhuru wa kuamua anachotaka kuamini. ila usivunje sheria na kuingilia Uhuru wa wengine.
Cha muhimu ni Tuhamasishane Tukapige Kura Uchaguzi ukifika.
ili Tutumie vizuri haki yetu kikatiba.
 
Hii kauli kama Kichwa cha Habari kinavyosema eti hakuna kuchagua mbunge wa upinzani hata kama anafaa.

Maneno kama haya kuzungumzwa na kiongozi mwenye dola ambaye anawania muhula mwingine wa uongozi ni kuhujumu uchaguzi mkuu.

Maneno kama haya kuzungumziwa wananchi ni kama kuwatisha kwa kuwanyima haki yao ya msingi ya kuchagua viongozi bora. Kauli hii haikubaliki kamwe.

Mbaya zaidi kauli kama hizi ndizo zinaleta mzozo mkubwa siku za kutangaza matokeo. Kimsingi kauli hii ninaiona kama imetoka katika kinywa kilichokosa ustaarabu mkubwa wa kisiasa. Mbaya zaidi anayezungumza ni kiongozi wa nchi anayehubiri kuwa maendeleo hayana chama.
Kosa liko wapi? Huu ni ushindani, kila mmoja anasema ya kuvutia kwake. Mbona mnasema CCM majambazi lakini hawalalamiki? Matusi, kejeli na dharau dhidi ya CCM vimepita kiwango lakini wanavumilia. Vumilieni pia au mkiweza semeni na nyie pia.
 
Back
Top Bottom