Mkuu mbona unampinga mdau wenu lizaboni wa jf ambaye mabandiko yake ya kuitukuza kijani na njano huwa unayaunga mkono mara zote? Unamkana makondakonda konokono kichwa cha panzi leo? Basi maajabu hayaishi dunia hii.Kama Makonda anajifananisha na Mungu basi ni bora kuanzia leo niwe Mfuasi wa ' kutukuka ' wa Shetani Mkuu Lucifa.