Akishindwa 2020 Atakubali kutoka?

TAWA

JF-Expert Member
Jun 23, 2013
3,667
1,566
Hivi hata tukiamua kufanya uchaguzi wa kijiji hiyo 2020 huyu mwenyekiti wetu atakubali kutoka madarakani kama atashindwa?

Kwa hali ninavyoiona sijui kama atakubali ukizingatia kwamba kila mtu anamuogopa hata baraza la wazee wanaosimamia upigaji wa kura.

Mimi nadhani tusipoteze pesa za kufanya uchaguzi, huyu mwenyekiti apitishwe tu, hizi pesa zitumike kwa shughuli nyingine za maendeleo ya kijiji chetu kama vile kununua dawa na kujenga barabara.
 
Atoke kwani kaingiaje? Kama kweli huyo mwenyekiti wenu kaingia kwa kura halali atatoka kwa kura halali kama ni kinyume basi mvumilie
 
Kwa lipi jema afanyalo mwenyekiti?
BEI YA KOROSHO, KUONDOA USHURU SUMBUFU KWA WAKULIMA, SGR, FLY OVER,WAMACHINGA KUPIGA KAZI ZAO BILA USUMBUFU. MADUKA YA MADAWA MSD, KUENDELEA KUBORESHWA HUDUMA ZA MAHOSPITALINI, MADAWATI MASHULENI, KUSHUKA KWA PAYE. NK NIKIANZA KUYATAJA YOTE NTAKESHA LICHA NI MUDA MFUPI TU MWENYEKITI KAKAA MADARAKANI
 
Kwa kuwa wapinzani watakuwa hawna hoja atapita tyuyyuy hamna namna maaana hawana wafanyalo
 
Back
Top Bottom