zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Unajua mjini kuna wanawake Ila wameji categorize kuna madada, mabinti na akina mama.
Ila sasa hawa akina mama wanaojiita kina mama wa mjini wananishangaza zamani kulikuwa na utofauti Kari ya akina mama na dada zetu
Ila siku hizi akina mama nao wanataka kujilinganisha na hawa dada zetu.
Yaani nowdays unakutana na mmama wa makamu unamsalimia shikamoo anakwambia "we usinizeeshe mapema"Mi bado nalipa.
Tena ukiwaona walivyojiremba mawigi kichwani na make ups utasema hawa ni mabinti. Hizo kazi ni za akina dada na mabinti wa mjini ukishazeeka achana nazo.
Ila sasa hawa akina mama wanaojiita kina mama wa mjini wananishangaza zamani kulikuwa na utofauti Kari ya akina mama na dada zetu
Ila siku hizi akina mama nao wanataka kujilinganisha na hawa dada zetu.
Yaani nowdays unakutana na mmama wa makamu unamsalimia shikamoo anakwambia "we usinizeeshe mapema"Mi bado nalipa.
Tena ukiwaona walivyojiremba mawigi kichwani na make ups utasema hawa ni mabinti. Hizo kazi ni za akina dada na mabinti wa mjini ukishazeeka achana nazo.