Yaan ni hv ww unanipa hizo swaga zako ile ule tunda
mfano- nataka nikupe maisha mazuri, tusema umeajiriwa mm sitaki uajiriwe nakupa mtaji ujiajiri, au umejiajiri ngoja nikuongezee pesa ukuze biashara yako na mengine kadharika lakini hayo uyasemayo hakuna hata zile dalili za kuonesha yatatimia yaani ww blaa blaa tu lakini hata moja hutimizi. Ukikutana na watoto wa mjini kama mm hupati tunda mpaka nione vitendo.
Sipo hvyo ila hii kwa wale Wanaume wenye blaa blaa
Sent using Jamii Forums mobile app
wanaume wa maneno hayo hawapo siku hizi sana.. wengi wao nguo unavua mwenyewe kwa kuvutiwa naye tu life style yake