Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Kwa kweli ishu ya kukeketwa ni noma mi mwenyewe nilikua na demu aliyekeketwa kwa kweli ni noma kwenye mechi hana hisia kabisa na hata umshikeshike vp hisia zake ni za mbali sana na ni mtu mwenye huzuni sana kwani hunieleza kuwa ananipenda sana ila hawezi kuniridhisha kwenye malovee kwani wakati wa tendo kuwa hajisikii raha sana
i beg to differ, kwani wewe ukiwa na ambaye hajakeketwa unachukua muda gani kutema?, mi wangu zmekeketwa na mara nyingine hunitangulia. Nakushangaa wewe, jiangalie.