heee.....mbona hiyo iko sana.....hata sisi huwa tunaangalia hivyo hivyo ila kimachale siyo kodokodo kama wanaume
Preta hujajua wanaume ambavyo huwa wanafeel. Ni tofauti sana na wanawake, sana.
heee.....mbona hiyo iko sana.....hata sisi huwa tunaangalia hivyo hivyo ila kimachale siyo kodokodo kama wanaume
Sasa unapomwangalia mwanaume unakuwa unawaza nini kichwani? Kwa mfano mimi, nikikuona wewe Preta ntakuwa nawaza au kukupiga picha kichwani mwangu jinsi ambavyo ntazichezea na kuzinyonya nyonyo zako, jinsi ambavyo nitayatomasa mapaja yako laini, ntakuwa nawaza jinsi ambavyo unatoa milio ya kimahaba ukiwa unafanya malavidavi n.k., n.k.
labda ktk hisia tunatofautiana lakini nia na dhumuni ni moja......
mimi nikikuona nitakuwa nawaza jinsi nitalala kifuani kwako (kwa tunaopenda vifua) na jinsi utafanya hayo yote uliyooroesha na kikubwa zaidi ni jinsi utanipa shughuli pevu.....
Angalia alichojibu Nyani Ngabu, hivyo ndivyo wanaume hujisikia. Cha kwanza ni kumvua mwanamke nguo mawazoni (sex). Navyofahamu wanawake wakienda mbali sana ni kuwaza kukumbatiwa na denda, lakini sex si kitu cha kuwaza ghafla kama wanaume.
Sijui! Preta, aliyoyasema Nyani Ngabu ni mawazo ya wanaume hata wakimwona mwanamke anapita njiani. We ukimwona mwanamme anapita njiani unaweza kuwa haya uliyoyaandika? Navyofahamu wanawake huwa hawawazi sex haraka hivyo. kwa taarifa yako, wanaume wakimwona mwanamke anapita wanawaza sex naye halafu akishapita wanasahau. Akitokea mwingine dakika 2 baadaye wanawaza tena sex naye. Wanawake hawako hivi.
mimi nikikuona nitakuwa nawaza jinsi nitalala kifuani kwako (kwa tunaopenda vifua) na jinsi utafanya hayo yote uliyooroesha na kikubwa zaidi ni jinsi utanipa shughuli pevu.....
hapo nakubali....na sio kumuona tu mwanaume akitoka ku-do saa hii akipata mwingine mpya saa hiyo hiyo anaanza upya......hapo ndio mlipotushinda
mimi nikikuona nitakuwa nawaza jinsi nitalala kifuani kwako (kwa tunaopenda vifua) na jinsi utafanya hayo yote uliyooroesha na kikubwa zaidi ni jinsi utanipa shughuli pevu.....
3D, upo sawa kabisa.............. sisi wadada siyo kama wakaka. nadhani tumepishana kwa sana tu. mtu unaweza kumwazia mkaka hivyo kama una-angalau feelings naye, na siyo kila mkaka anayepita njianiSijui! Preta, aliyoyasema Nyani Ngabu ni mawazo ya wanaume hata wakimwona mwanamke anapita njiani. We ukimwona mwanamme anapita njiani unaweza kuwa haya uliyoyaandika? Navyofahamu wanawake huwa hawawazi sex haraka hivyo. kwa taarifa yako, wanaume wakimwona mwanamke anapita wanawaza sex naye halafu akishapita wanasahau. Akitokea mwingine dakika 2 baadaye wanawaza tena sex naye. Wanawake hawako hivi.
Uwazi wako unanivutia sana!
3D, upo sawa kabisa.............. sisi wadada siyo kama wakaka. nadhani tumepishana kwa sana tu. mtu unaweza kumwazia mkaka hivyo kama una-angalau feelings naye, na siyo kila mkaka anayepita njiani
Mimi nadhani nina matatizo maana hata wale wanaojitambulisha kama wadada humu, mfano wewe, Katerelo, Preta, na wengine huwaga nawawaza kimapenzi....yaani huwaga nawavua nguo kabisa!!!
:smile-big::smile-big::smile-bigreta!! kumbe