jchofachogenda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 537
- 123
Hii nayo kali, umetoa mpya,mwemye ujauzito asitembee.
Sasa km ana mahitaji huko Kariakoo asiende sbb ana mimba?
Mimba si ugonjwa, so km huna complications zozote, mwanamke anaweza fanya shughuli zake hadi siku anasikia uchungu.
Labda waulizwe hao waliowapa mimba vyereje? Iwapo mimba ni kitu cha kufichwa!zamani ilikua vigumu sana kumuona mwanamke mwenye mimba,ila siku hizi naona kama wanafanya mashindano hivi?!! yaani kila siku lazima niwaone zaidi ya watano,unakuta mwanamke anayo mimba kuuuuuuubwa anazunguka nayo kariakoo!! sa sijui ndio fasheni au?! ........
MP.
mwanamke akiwa mjamzito, kazi yake huwa ni kuhesabu waja wazito wenzie.
Watch out!
zamani ilikua vigumu sana kumuona mwanamke mwenye mimba,ila siku hizi naona kama wanafanya mashindano hivi?!! yaani kila siku lazima niwaone zaidi ya watano,unakuta mwanamke anayo mimba kuuuuuuubwa anazunguka nayo kariakoo!! sa sijui ndio fasheni au?! ........
MP.
Kausha wewe ........ Unatafuta mume?
MP.
Nilishatoa maelezo kule ulikoacha tusi lako! bahati nzuri au mbaya mods wameshatoa ile thread! its not my attitude kutukana! niliyokuwa nimekujibu yanatosha! mimi si wakukalia kilmya ujinga hata siku moja umeingia pabaya! next time just watch your steps!
Nilishatoa maelezo kule ulikoacha tusi lako! bahati nzuri au mbaya mods wameshatoa ile thread! its not my attitude kutukana! niliyokuwa nimekujibu yanatosha! mimi si wakukalia kilmya ujinga hata siku moja umeingia pabaya! next time just watch your steps!
Ulichoandika huko hata mimi sikukiona, embu kiandike tena hapa ili twende sawa .......
MP.
mada labda ungeshangaa kama mimi nishangaavyo mimba za siku izi vitumbo vya wadada vinakuwa na pembe nne au kamechongoka kama ncha ya penseli ya mtoto wa chekechea, sijui watunga mimba ndo wanafanya vinakuwa vile ama ni mabadiliko tu ya hali ya hewa. wakati mwengine natishika kitatoboa