Si na wewe uolewe ukipewa ujauzito uvaeSasa una mtumbo mkuuuuubwa unavaa kagauni kanaishia magotini unamlingishia nani mtumbo huo? Au anakuwa yeye ndo wakwanza kupata mimba?
Si na wewe uolewe ukipewa ujauzito uvae
maternity marefu,ili bwana wako afurahi?
Chuki ya nini kwa wanawake wasio kuhusu
halafu kumbuka kuna siku hata wewe ulikuwa kwenye huo Mtumbo.
maprosoo umesikia habari hiyo bila shaka!
zamani ilikua vigumu sana kumuona mwanamke mwenye mimba,ila siku hizi naona kama wanafanya mashindano hivi?!! yaani kila siku lazima niwaone zaidi ya watano,unakuta mwanamke anayo mimba kuuuuuuubwa anazunguka nayo kariakoo!! sa sijui ndio fasheni au?! ........
MP.
nawaheshimu sana. mkiwa na vimimba vyenu mkalishe basi makwenu.
MP.
Vaeni nguo za heshima jamani sasa unavaa kagauni kanaishia magotini unakuwa kama mwanamitindo au mimba nazo siku hizi zinafanyiwa fasheni
Vimimba vyetu ulisikia tumeji tia wenyewe.
Hivi hiyo avatar ni mtu alikupendekezea au ulichagua mwenyewe ?:A S embarassed:
Najua hamjitii mimba wenyewe ila hamuonagi aibu ukitembea kila mtu anajua ulifanya mapenzi bila kinga!!
avatar umeipenda eeh?!
MP.
zamani ilikua vigumu sana kumuona mwanamke mwenye mimba,ila siku hizi naona kama wanafanya mashindano hivi?!! yaani kila siku lazima niwaone zaidi ya watano,unakuta mwanamke anayo mimba kuuuuuuubwa anazunguka nayo kariakoo!! sa sijui ndio fasheni au?! ........
MP.