BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,215
- 39,040
View attachment 1612375
Ila mkuu ulisemaga huna kawaida ya kuwaacha wanawake...nipo nawaza uliwezajee hao...?
Hii ndo raha ya jf
View attachment 1612375
Ila mkuu ulisemaga huna kawaida ya kuwaacha wanawake...nipo nawaza uliwezajee hao...?
hilo ndo nmelijua kwa huyo jamaa niliyemjibu ila hajatuelezea kwa undani wakeMkuu embu fafanua hapo kwenye kupaka mafuta sehemu za mavuzi
Hii hadithi 95%ni ya kubumbaMiaka minne iliyopita, kipindi nimepata kazi jijini Dar es Dalaam
Nilianza kupanga nyumba maeneo ya hapa Dar, japo nilikuwa sikai nyumba moja zaidi ya miezi 6, nilikuwa nachoka tu na kuamua kutafuta sehemu nyingine na sijui shida ilikuwa nini na mpaka kodi nilikuwa natoka kabla ya mda
Nilikuwa na heshima sana japo wengine waliniona boya fulani, nilikuwa nakumbuka sana maneno ya mamangu kuwa mwanangu ishi na watu vzr na usijekumdharau mtu, kumbuka kusemehe kama mtu akikukosea Ila usikubali uonevu
Ni kweli kipindi cha nimekuwa mpangaji kwenye hizi nyumba, akina baba ni wastaarabu sana ila akina mama ni tatizo kubwa sana
Nilikutana na unyanyapaa tena mpaka natishwa na mama wa nyumbana kuwa usipolala na mimi kwangu utahama na lazima nimwambia mzee kuwa unanitongoza, nuliumia sana nikaja kuhama ghafla tu na mzee alisikitika Sana
Nyumba ya pili mzee alikuwa ni wa kusafiri sana nikawa na maisha fulani nikiwa off nipo home nitashinda tu ndani mpaka usiku kukwepa mazoea na mama mwenye nyumba,kuna siku kanipigia simu usiku wa saa 6 nikamfungulie gheti ,nikaamka,nikafungua nikamsalimia na kufunga gheti maana mlango wangu nilivuta tu, narudi ndani namkuta yuko kitandani anasema amezidiwa nimpige tu mashine atatunza siri, yule mama hakuamini machoni nilimwambia ngoja nikafunge gheto vzr, nilitoka nje na kwenda kulala gesti kesho yake nikaamka asubuhi kwenda kutafuta chumba kingine alishaangaa tu nimekuja na gari pale na kuhama siku hiyo hiyo
Sasa hiyo nyumba ya tatu ndo ilikuwa balaa kweli kweli ,mama mwenye nyumba ananitaka na watoto wake wananitaka na shangazi yao pia ananitaka jamani acheni tu wapangaji kuweni makini ukimwi unaua, ikabidi nimwambie baba mwenye nyumba nilimtoa siku moja tukaenda kunywa soda bar moja ya jirani nikampa mkanda mzima, yule mzee aliniambia hongera kwa huu ujasiri na ubarikiwe ,mzee aliniambia a to z wale wote ni positive na mzee pia anatumia dawa na mpaka leo dawa zake nampelekea kwake,yule mama kila akiniona anatokwa na machozi anasema nisamehee kijana ningekua kwa uzembe huwa namwambia mama niko makini sana
Ushauri wangu kwa vijana mnaopanga kuweni makini na kataeni hawa wanawake afya yako ni maisha yako
Nimemaliza.
Well spokenMiaka minne iliyopita, kipindi nimepata kazi jijini Dar es Dalaam
Nilianza kupanga nyumba maeneo ya hapa Dar, japo nilikuwa sikai nyumba moja zaidi ya miezi 6, nilikuwa nachoka tu na kuamua kutafuta sehemu nyingine na sijui shida ilikuwa nini na mpaka kodi nilikuwa natoka kabla ya mda
Nilikuwa na heshima sana japo wengine waliniona boya fulani, nilikuwa nakumbuka sana maneno ya mamangu kuwa mwanangu ishi na watu vzr na usijekumdharau mtu, kumbuka kusemehe kama mtu akikukosea Ila usikubali uonevu
Ni kweli kipindi cha nimekuwa mpangaji kwenye hizi nyumba, akina baba ni wastaarabu sana ila akina mama ni tatizo kubwa sana
Nilikutana na unyanyapaa tena mpaka natishwa na mama wa nyumbana kuwa usipolala na mimi kwangu utahama na lazima nimwambia mzee kuwa unanitongoza, nuliumia sana nikaja kuhama ghafla tu na mzee alisikitika Sana
Nyumba ya pili mzee alikuwa ni wa kusafiri sana nikawa na maisha fulani nikiwa off nipo home nitashinda tu ndani mpaka usiku kukwepa mazoea na mama mwenye nyumba,kuna siku kanipigia simu usiku wa saa 6 nikamfungulie gheti ,nikaamka,nikafungua nikamsalimia na kufunga gheti maana mlango wangu nilivuta tu, narudi ndani namkuta yuko kitandani anasema amezidiwa nimpige tu mashine atatunza siri, yule mama hakuamini machoni nilimwambia ngoja nikafunge gheto vzr, nilitoka nje na kwenda kulala gesti kesho yake nikaamka asubuhi kwenda kutafuta chumba kingine alishaangaa tu nimekuja na gari pale na kuhama siku hiyo hiyo
Sasa hiyo nyumba ya tatu ndo ilikuwa balaa kweli kweli ,mama mwenye nyumba ananitaka na watoto wake wananitaka na shangazi yao pia ananitaka jamani acheni tu wapangaji kuweni makini ukimwi unaua, ikabidi nimwambie baba mwenye nyumba nilimtoa siku moja tukaenda kunywa soda bar moja ya jirani nikampa mkanda mzima, yule mzee aliniambia hongera kwa huu ujasiri na ubarikiwe ,mzee aliniambia a to z wale wote ni positive na mzee pia anatumia dawa na mpaka leo dawa zake nampelekea kwake,yule mama kila akiniona anatokwa na machozi anasema nisamehee kijana ningekua kwa uzembe huwa namwambia mama niko makini sana
Ushauri wangu kwa vijana mnaopanga kuweni makini na kataeni hawa wanawake afya yako ni maisha yako
Nimemaliza.
Kapige kuraSawa Chris brown
Chris brown tenaSawa Chris brown
Sasa kama mwanaume anatongozwa sana manaake sini mzuri kama chrisbrown labda.Chris brown tena
Wazee wa ReferenceView attachment 1612375
Ila mkuu ulisemaga huna kawaida ya kuwaacha wanawake...nipo nawaza uliwezajee hao...?