Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
*Maisha sio poa kabisa Jamaa yangu amemaliza kuandika kitabu kuhusu mbinu za kupata pesa. Sasa anatafuta pesa kwa ajili ya kuchapisha kitabu hicho.*
*Ameniomba pesa nimemwambia asome kitabu alichoandika.*
```Akili za Mkopo```
*Ameniomba pesa nimemwambia asome kitabu alichoandika.*
```Akili za Mkopo```