McFerson
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,121
- 2,167
We upo njia kuu?Michepuko sio dili Baki njia kuu
Kada wa kwenye CCM mpya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We upo njia kuu?Michepuko sio dili Baki njia kuu
NdioWe upo njia kuu?
Kada wa kwenye CCM mpya
wewe ndio hunaUna uhakika?
Kada wa kwenye CCM mpya
Ha ha haaaa.Kuna siku niliingiwa na tamaa ya kuchepuka, ibilisi nae akawa anataka kuwa mdhamini wa mpambano, lakini nafsi yangu haikuwa na amani kabisa kimioyo kinadunda dunda hivi...kila napopiga hatua kuzidi kuzama ndani katika mjengo ambao ndio nilikuwa naenda kutenda dhulma dhidi ya waifu aah nafsi inakataa alafu nikimuangalia huyo manzi Vitu vimo na nilikuwa nahitaji kukumbushia show flani za kiumeni...basi nikafika hadi ndani maandalizi yakawa fresh ibilisi kisha nitawala sasa ile nataka kuliamsha lidubwana, Adhana ikalia, jirani kulikuwa na msikiti, akili ikarudi fasta, nikamwambia ebana tughairishe zoezi kwanza nikaswali ili nikirudi kazikazi sasa nilipojua michepuko akili zao hazijatune vizuri akasema poa ila unaporudi niletee na kitimoto nusu na ndizi...nikaguma mh..yaani huyu mi namwambia naenda kufanya ibada ye aniagiza hanziri...Sikurudi
Yani unaplan kabisa ya kudhini halafu unaenda kuswali urudi kuzini hay
Sent using Jamii Forums mobile app
.................akili ikarudi fasta, nikamwambia ebana tughairishe zoezi kwanza nikaswali ili nikirudi kazikazi sasa nilipojua michepuko akili zao hazijatune vizuri akasema poa ila unaporudi niletee na kitimoto nusu na ndizi...nikaguma mh..yaani huyu mi namwambia naenda kufanya ibada ye aniagiza hanziri...Sikurudi
Kuna siku niliingiwa na tamaa ya kuchepuka, ibilisi nae akawa anataka kuwa mdhamini wa mpambano, lakini nafsi yangu haikuwa na amani kabisa kimioyo kinadunda dunda hivi...kila napopiga hatua kuzidi kuzama ndani katika mjengo ambao ndio nilikuwa naenda kutenda dhulma dhidi ya waifu aah nafsi inakataa alafu nikimuangalia huyo manzi Vitu vimo na nilikuwa nahitaji kukumbushia show flani za kiumeni...basi nikafika hadi ndani maandalizi yakawa fresh ibilisi kisha nitawala sasa ile nataka kuliamsha lidubwana, Adhana ikalia, jirani kulikuwa na msikiti, akili ikarudi fasta, nikamwambia ebana tughairishe zoezi kwanza nikaswali ili nikirudi kazikazi sasa nilipojua michepuko akili zao hazijatune vizuri akasema poa ila unaporudi niletee na kitimoto nusu na ndizi...nikaguma mh..yaani huyu mi namwambia naenda kufanya ibada ye aniagiza hanziri...Sikurudi[/QUOTE
Hahahaaaaaaa umenikumbusha siku nimechepuka halafu ilikuwa ijumaa mchepuko akanambia hatujaswali leo mbona nguvu ziliniishia hapohapo. nikamwambia poa tufanye sikuingine basi.
Anatubu halafu anarudi mule mule...
UmeonaeeNi sawa na kusafisha miguu afu unatembea peku tena.