Wajamani wanaJF,baada ya kufuatilia na kuangalia bunge letu la jamhuri ya muungano wa Tanzania,nimepata mada hii ambayo nakuja nayo humu jamvini ili na nyie mtoe mtazamo wenu.Angalia picha hii,kisha ulinganishe akili za hivi vichwa viwili,kati ya hicho cha pichani na hiki kinachoweza kusema maneno hayaMh.spika,bajeti hii ni mbovu sana,imejaa mapungufu matupu,haina jipya wala haina matumaini yoyote kwa watanzaniaMh.spika,naunga mkono hoja kwa 100%