Akili ya mwanamke ushawishi wako tu

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,228
Tangu dunia kuumbwa mwanamke mrahisi wa kurubuniwa,karubuniwa hata na lucifa kisa tunda tu ,kwa tamaa ya fedha Delila hadi kamsaliti Samson,....wanawake ni viumbe wanaotumiwa na shetani,hawana msimamo.


Misimamo ya kinafki na uwongo, wamejaliwa usaliti,kushobokea,hata Kama akili zimepevuka basi usaliti umewajaa.

Hata kwenye intelligence services wao ndo wanateka wanaume walio shindikana,na bado ni wasaliti wanaweza kunogiwa na waliotumiwa wawateke.

Mke wa Lutu anatamani anasa hadi anageuza shingo,hapo hapo anageuka jiwe la chumvi.

Mdanganye mwanamke Mme wako ana hawara njoo kwangu,bila kuwaza analala na mme wake masaa 24,atakuja kukuchekea...hahaha nimekupendea umesema ukweli

Mwanamke msaliti,anashawishika,hana msimako
 
Tangu dunia kuumbwa mwanamke mrahisi wa kurubuniwa,karubuniwa hata na lucifa kisa tunda tu ,kwa tamaa ya fedha Delila hadi kamsaliti Samson,....wanawake ni viumbe wanaotumiwa na shetani,hawana msimamo.


Misimamo ya kinafki na uwongo, wamejaliwa usaliti,kushobokea,hata Kama akili zimepevuka basi usaliti umewajaa.

Hata kwenye intelligence services wao ndo wanateka wanaume walio shindikana,na bado ni wasaliti wanaweza kunogiwa na waliotumiwa wawateke.

Mke wa Lutu anatamani anasa hadi anageuza shingo,hapo hapo anageuka jiwe la chumvi.

Mdanganye mwanamke Mme wako ana hawara njoo kwangu,bila kuwaza analala na mme wake masaa 24,atakuja kukuchekea...hahaha nimekupendea umesema ukweli

Mwanamke msaliti,anashawishika,hana msimako
Mmmmmh, si kweli kwamba wote wako hvyo
 
ukweli uliowazii...
bora ww umeusema..
"usiamini mwanamke yeyote kasoro tuu mama yako mzazi"
 
Hapo na mzazi wako yupo ujue,na dadako na mkeo na shemeji yako na mwanao,ebu bakisha ukisema,ntakuelewa ukisema baadhi na bila kusahau kuna wanaume baadhi wanatabia za ajabu hata mwanamke hana hao unawazungumziaje? au mwanamke ndio kakuchefua leo?
 
Tangu dunia kuumbwa mwanamke mrahisi wa kurubuniwa,karubuniwa hata na lucifa kisa tunda tu ,kwa tamaa ya fedha Delila hadi kamsaliti Samson,....wanawake ni viumbe wanaotumiwa na shetani,hawana msimamo.


Misimamo ya kinafki na uwongo, wamejaliwa usaliti,kushobokea,hata Kama akili zimepevuka basi usaliti umewajaa.

Hata kwenye intelligence services wao ndo wanateka wanaume walio shindikana,na bado ni wasaliti wanaweza kunogiwa na waliotumiwa wawateke.

Mke wa Lutu anatamani anasa hadi anageuza shingo,hapo hapo anageuka jiwe la chumvi.

Mdanganye mwanamke Mme wako ana hawara njoo kwangu,bila kuwaza analala na mme wake masaa 24,atakuja kukuchekea...hahaha nimekupendea umesema ukweli

Mwanamke msaliti,anashawishika,hana msimako
tayari kisu kishagonga mfupa huku
 
Back
Top Bottom