OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,509
- 8,823
fanya hivyo mkuu usiwe na haraka kabisa.Nadhani naanza kupata clue.
Ngoja niende mdogo mdogo maana mpaka kesho nahangaisha mawazo yangu kuhusu uwezo wetu wa kumbukumbu hususani ukubwa wa akili zetu.. Na huu ujio wa AI ndiyo kabisaa naona kumbe bado hatujawahi kutumia akili zetu kwa uwezo unaotakiwa kukidhi viwango vya akili....
Ngoja nisome taratibu