Nguva Jike
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 852
- 1,005
Habari za jioni wanajf.
Katika kuhangaika na maisha nimepambana kiume mpaka nimefanikiwa kuwa na nyumba ya wastani na fremu Moja ya biashara IPO sehemu tofauti na nyumba.
Kikwazo ni mtaji ndugu zangu watanzaniå nipêni akili nipate mtaji Wangu kuna jirani kanipa bolt nimuuzie ananipa posho PESA zote zake japo fremu yangu.Nimekonda Kwa mawazo sehemu niliyopo ina gereji kubwa ya Pikipiki mafundi wananishauri niweke Spea tatizo PESA ndugu zangu nipeni mawazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika kuhangaika na maisha nimepambana kiume mpaka nimefanikiwa kuwa na nyumba ya wastani na fremu Moja ya biashara IPO sehemu tofauti na nyumba.
Kikwazo ni mtaji ndugu zangu watanzaniå nipêni akili nipate mtaji Wangu kuna jirani kanipa bolt nimuuzie ananipa posho PESA zote zake japo fremu yangu.Nimekonda Kwa mawazo sehemu niliyopo ina gereji kubwa ya Pikipiki mafundi wananishauri niweke Spea tatizo PESA ndugu zangu nipeni mawazo
Sent using Jamii Forums mobile app