Tanzanite klm
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 453
- 376
*Akili haikui kwa umri, bali kwa taarifa na maarifa sahihi unayoingiza akilini kwa wakati sahihi*
Lakini pia kuwa na maarifa mengi kichwani usiyofanyia kazi inakua haina tofauti na punda aliyebeba vitabu vingi, .
-Ni kama Nikola Tesla anadharaulika kwa kitu kimoja, alikua na maarifa mengi lakini hakutaka kuingiza sokoni wala ku share na watu wengine. Ili hali Thomas Edson alikua mjanja kuchukua maarifa kwa ma genius wengine, anajimilikisha lakini anayaingiza sokoni au ana share na binadamu wengine.
-Mwandishi mmoja ambaye alikua best seller NY times mara nyingi. Kabla hajawa mwandishi, alikua broke( maskini aliyefilisika) siku moja alienda hospital akawa anaumwa kupimwa akakuta ana cancer bado miezi sita afe.
-Akajiuliza atafanya nini familia yake isiyeseke, akaanza kuandika kitabu, tena sio kimoja, viliuza sana. Na hakuishi miezi sita tuu bali miaka mitano mbele.
- what would happen if angekufa na hayo maarifa?.
- Ndiyo maana Dr.Myles Munroe alisema the richest place on earth is graveyard.
-Fanya kuchukua kalamu anza kuandika michanganuo ya biashara sasa.
-Michanganuo ifike hata mia,At the end utapata the best zaidi.
-Fanya zoezi la kufikiri.
-Early Nightingale alisema most men dont think.
-Lets think and be doeers. Not thinkers and procrastinators.
- Elon Musk aliona fursa Mars. Ma professor walimpinga, leo Nasa wanampa dili za hatari.
*Think Different Everyday *
*Change ur mind change ur life*
PATA NAKALA YA KITABU CHANGU * MGODI KATIKATI YA MASIKIO ; kwa tsh 3000 tuu kwa sasa. henryest600@icloud.com
Lakini pia kuwa na maarifa mengi kichwani usiyofanyia kazi inakua haina tofauti na punda aliyebeba vitabu vingi, .
-Ni kama Nikola Tesla anadharaulika kwa kitu kimoja, alikua na maarifa mengi lakini hakutaka kuingiza sokoni wala ku share na watu wengine. Ili hali Thomas Edson alikua mjanja kuchukua maarifa kwa ma genius wengine, anajimilikisha lakini anayaingiza sokoni au ana share na binadamu wengine.
-Mwandishi mmoja ambaye alikua best seller NY times mara nyingi. Kabla hajawa mwandishi, alikua broke( maskini aliyefilisika) siku moja alienda hospital akawa anaumwa kupimwa akakuta ana cancer bado miezi sita afe.
-Akajiuliza atafanya nini familia yake isiyeseke, akaanza kuandika kitabu, tena sio kimoja, viliuza sana. Na hakuishi miezi sita tuu bali miaka mitano mbele.
- what would happen if angekufa na hayo maarifa?.
- Ndiyo maana Dr.Myles Munroe alisema the richest place on earth is graveyard.
-Fanya kuchukua kalamu anza kuandika michanganuo ya biashara sasa.
-Michanganuo ifike hata mia,At the end utapata the best zaidi.
-Fanya zoezi la kufikiri.
-Early Nightingale alisema most men dont think.
-Lets think and be doeers. Not thinkers and procrastinators.
- Elon Musk aliona fursa Mars. Ma professor walimpinga, leo Nasa wanampa dili za hatari.
*Think Different Everyday *
*Change ur mind change ur life*
PATA NAKALA YA KITABU CHANGU * MGODI KATIKATI YA MASIKIO ; kwa tsh 3000 tuu kwa sasa. henryest600@icloud.com