Masanja Maguzu
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 547
- 396
Kwa maelezo ya JPM hazina yetu iko vizuri tunaweza hemea miezi sita bila shida. Kwa hesabu iliyopo kila mtanzania anaweza gawiwa lakimbili zikiwemo mimba na chenji ikabaki. Hizo ni za kigeni tu zilizoko benki kuu achilia zilizoko kwenye account zingine. Nazile anazotembeaga nazo.