wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 167
Kuna taarifa account zote za viongozi wa serikali na wanasiasa wa vyama vyote wenye account nje zimefungiwa kwa muda ili ifanyike uchunguzi.Hata wale walioweka deposit na hata wale wafanyabiashara wa ujanja ujanja.