CORAL
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 2,789
- 1,782
Impossible,labda hayo mataifa yafunge sio serikali ya Tanganyika
Mimi mwenyewe siamini kabisa. Hiyo kazi anaiweza Xi Jiping rais wa China. China ni nchi kubwa takriban mara 10 ya Tanzania lakini kwa mafisadi haiwatoshi tena. Rais ametangaza vita na mafisadi, kufunga akaunti zao nje ya nchi hadi atakapojiridhisha namna walivyopata hizo fedha. Hakuna cha "kujipima" huko China mwizi yeyote bila kujali cheo chake ni kufilisiwa na kushtakiwa mahakamani. Yule ndiye rais wa Wapiga kura sio huku rais wa mafisadi.