Ntu wa diliDah yule mwenda alikua 'ntu nbaya sana'.
Ntu wa diliDah yule mwenda alikua 'ntu nbaya sana'.
Watu waandike maandiko yao wenyewe alipata fedha zizuiwe. Wazimu huo . Kutumbua pesa mmanake nnTutashuhudia mafuriko ya post twitter na kwingineko.
Hizo fedha fanyieni mambo ya maana msizitumbue kwa anasa tu.
Mwendazake alikuwa mshamba, haambiliki na hajali protocol wala katiba. Ndiyo maana hatunaye tena. Tanzania haikustahili kutawaliwa na mtu wa calibre ile. Ni ajali tu ya kisiasa ya mwaka 2015 ndiyo iliyomleta madarakani. ila Tumejifunza, viongozi lazima waandaliweMambo ya ajabu ajabu tu enzi za jiwe.
Mambo ya ajabu ajabu tu enzi za jiwe.