Lakini ukimchukua form 4, hadi aje ajiendeleze apate digrii sio leo, kama ni kwata ameshapigishwa sana, na huwa wanakuwa wavumilivu.
Jambo la kuzingatia ni, Kuna masomo ya vyeti na masomo ya Kazi.Zaidi ya Polisi 20 ni PhD holders
Zaidi ya Polisi 100 wana masters
Zaidi ya Polisi 6000 Tanzania wana digrii,
Zaidi ya Polisi 1000 wana diploma
Zaidi ya Polisi 4000 ni form VI
Waliobaki ndo form iv na Std VII wasiozidi 500 kwa sasa.
Kama unaona polisi wanafanya vibaya si kwa sababu wote hawana Elimu, ila ni kwa sababu si chombo huru toka kwenye mikono ya wanasiasa. Hao uliosikia wameteliwa jana wanakwenda kutoa amri kwa Polisi kufanya chochote wanachoona wao kinafaa, na kama OCD husika hajiongezi ndo utakuta madudu na mafyongo kama ya Kaliua juzi ambako DC anasema "familia ilipanga mtoto wao afe kwa moto ili kuikomoa serikali".
Acha ubinafsi. Kwa kuwa wewe umefikia kiwango hicho ndio unaona wale ambao hawakufika level hiyo hawapaswi kupata ajira hizo,unajiangalia wewe tu kama mtu mwenye pesa anapendekeza watu watoe mchango mkubwa kuliko uwezo wao kwa kuwa yeye anaumudu, waache wanaomaliza form four wapate pa kuanzia maisha zamani watu walikuwa wanamaliza la saba wanapata ajira ndio waliokufikisheni hapa mlipo.
Huko katika jeshi la polisi wenye hizo diploma, degree na masta wewe unadhani hawapo au umeamua kuwadharau polisi Tz.
Hao wenye diploma wataweza kukaa magetini? Kulinda benk?
Kufukua makaburi kama kuna kesi za mtu kuuwa na kuzika?
Mbona hilo lilishawekwa wazi kuwa asilimia kubwa ya majeshi yana hitaji watu wenye elimu ndogo ya form 4, kwani ndio wenye majukumu mengi kwenye majeshi kulinganisha na hao wasomi, hao wasomi huwa ni wasumbufu sana, mtu anatafuta kazi kama kujiegesha tu, huko anakosubiria penye maslahi mazuri tu pakitiki anakimbia, kingine wanakuwa wasumbufu sana kudai maslahi, mala kwenda kutaka kuongeza elimu.
Lakini ukimchukua form 4, hadi aje ajiendeleze apate digrii sio leo, kama ni kwata ameshapigishwa sana, na huwa wanakuwa wavumilivu.
Hivi mtu mwenye digree ukampe kazi ya kulinda atm bank kweli si bora nibaki stendi napiga debe?
Tena hii kuajiri wasomi wasomi kwenye vyombo vya ulinzi ndio wanasababisha maadili yanapungua maana mtu ana elimu yake utamwambia nini.
Mi naona waajiri wala ma feria kabisa ili wawapelekeshe vizuri maana wanakuwa na adabu na utii na nidhamu ya kazi kuliko hiyo misomi alafu kicwani hamna kitu.
Angalia wastaafu wote kwenye vyombo vya ulinzi wale wa enzi za mwalimu walivyo na nidhamu na weledi huko mtaani alacu ulinganishe na hawa wa saa hivi uone tofauti
Hao wenye diploma wataweza kukaa magetini? Kulinda benk?
Kufukua makaburi kama kuna kesi za mtu kuuwa na kuzika?
data za uongo mejeshi ya wenzxetu yana wasomi wewngi sana sema tuna fikra za kitumwa tuZaidi ya Polisi 20 ni PhD holders
Zaidi ya Polisi 100 wana masters
Zaidi ya Polisi 6000 Tanzania wana digrii,
Zaidi ya Polisi 1000 wana diploma
Zaidi ya Polisi 4000 ni form VI
Waliobaki ndo form iv na Std VII wasiozidi 500 kwa sasa.
Kama unaona polisi wanafanya vibaya si kwa sababu wote hawana Elimu, ila ni kwa sababu si chombo huru toka kwenye mikono ya wanasiasa. Hao uliosikia wameteliwa jana wanakwenda kutoa amri kwa Polisi kufanya chochote wanachoona wao kinafaa, na kama OCD husika hajiongezi ndo utakuta madudu na mafyongo kama ya Kaliua juzi ambako DC anasema "familia ilipanga mtoto wao afe kwa moto ili kuikomoa serikali".
Huo ndio ukweli ulivyo!!na utabakia hivyo hivyo!!mwenye degree huwezi kumzungusha kwenye lindo usiku kucha, mala akalinde bank!!akipata tu nafasi nyingine ya kazi ni rahisi kwenda huko,Jiite mchawi mweusi
Sasa ndio watujazie matutusa kwenye jeshi la polisi ambao kazi yao kila siku ni kuwavizia na kuwaua wafanyabiashara wa madini? Mkuu kumbuka hata wewe ndugu yako anaweza kuuwawa na polisi wakati wowote. Inauma sana.Huo ndio ukweli ulivyo!!na utabakia hivyo hivyo!!mwenye degree huwezi kumzungusha kwenye lindo usiku kucha, mala akalinde bank!!akipata tu nafasi nyingine ya kazi ni rahisi kwenda huko,