post tayari walimu wote wameenda up countrie hakuna aliyepata DSM na mikoa mingine ya mjini...km umepiga mchongo wa dar pesa yko imeliwa ndugu
asante kwa taarifa mkuu,hayo majina yanapatikana wapi/website gani?
post tayari walimu wote wameenda up countrie hakuna aliyepata DSM na mikoa mingine ya mjini...km umepiga mchongo wa dar pesa yko imeliwa ndugu
post tayari walimu wote wameenda up countrie hakuna aliyepata DSM na mikoa mingine ya mjini...km umepiga mchongo wa dar pesa yko imeliwa ndugu
post tayri zimetangazwa hongereni walimu
tatizo ni hela...celewi vizuri kwann fani ya ualimu imekosa thaman yake,tatzo n fani yenyewe au n fani ukilnganisha na fani nyingine.