Wana jamvi katika hali ilioleta taharuki kwa vijana wetu jana Alhamisi ilisambaaa mtandaoni kwamba majina ya waalimu walioomba kazi yametoka. Hivyo kuleta taharuki na usumbufu kwa walioomba, lakini ilikuwa ni geresha tu, cha kushangaza si Tamiseni haikukanusha habari hizo kama ni kweli au la.
Na kama sio kweli, ni lini watatoa hizo ajira kwa ajili ya walimu hao au hizo ajira hazipo ndio maaana wako kimya.waseme nilini zinatarajia kutoka.
Na kama sio kweli, ni lini watatoa hizo ajira kwa ajili ya walimu hao au hizo ajira hazipo ndio maaana wako kimya.waseme nilini zinatarajia kutoka.