Hashimu lwenje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 415
- 359
Ajira za vijana tuliosoma fani za mafuta na gesi
Ajira za vijana tuliosoma fani za mafuta na gesi
Wizara ya nishati tunaomba mtusaidie kutatua hili tatizo, la ajira kwa sisi vijana tulio somea fani hizi za mafuta na gesi.
Wapo vijana walio somea fani ya
uhandisi wa mafuta na gesi, wapo waliosomea kemia ya mafuta na gesi
lakini pia wapo vijana waliosomea jiolojia ya mafuta na gesi.
Ajira za vijana tuliosoma fani za mafuta na gesi
Wizara ya nishati tunaomba mtusaidie kutatua hili tatizo, la ajira kwa sisi vijana tulio somea fani hizi za mafuta na gesi.
Wapo vijana walio somea fani ya
uhandisi wa mafuta na gesi, wapo waliosomea kemia ya mafuta na gesi
lakini pia wapo vijana waliosomea jiolojia ya mafuta na gesi.