Nimefuatilia sana posti za ajira za utendaji wa mtaa au vijiji sijawahi kuona wakiunganisha kigezo cha shahada kwenye sifa za kazi hiyo na nyingine 50 zimetangazwa wilaya ya Ilemela wanahitaji astashahada tu
Naona kusoma sana sasa hakuna maana Tanzania enzi za mwl Nyerere alithamini sana wasomi hata kipindi cha Rais JK ila kwasasa ni kupoteza muda na kufanya kila msomi kuwa mwanasiasa.
Naona kusoma sana sasa hakuna maana Tanzania enzi za mwl Nyerere alithamini sana wasomi hata kipindi cha Rais JK ila kwasasa ni kupoteza muda na kufanya kila msomi kuwa mwanasiasa.