kwa sababu ni kijiji kinastahili kuongozwa na waliokwepa umande, siyo?Una shahada halafu unalilia utendaji wa kijiji?
kwa sababu ni kijiji kinastahili kuongozwa na waliokwepa umande, siyo?Una shahada halafu unalilia utendaji wa kijiji?
Sio kuchangia tu elimu yangu ya la Saba pia imenipa utendaji wa kijijiNa elimu yako ya la saba hili ndo umeona la maana kuchangia!
Ukilipwa TGS B utakubali ??kwa sababu ni kijiji kinastahili kuongozwa na waliokwepa umande, siyo?
Haijui hiyo ndio maana analilia utendaji wa kijijiUkilipwa TGS B utakubali ??
Utaacha kulalamika ??
Na kwa nini alipwe hiyo TGS B, kinachomata ni elimu ya mtu aliyekaa kwenye nafasi au ni ngazi ya eneo analofanyia kazi.....yaani ukimpeleka injinia akafanyie kazi kijijini, je, utamlipa kwa elimu yake au utamlipa kama mtu anayefanya kazi kijijini.....Ukilipwa TGS B utakubali ??
Utaacha kulalamika ??
Kuna mwingine humu alianzisha thread kwamba ameajiriwa na mahakama halafu analipwa TGS B wakatinana Diploma.Haijui hiyo ndio maana analilia utendaji wa kijiji
Scale za Watendaji wa kata na vijiji unazijua ??Na kwa nini alipwe hiyo TGS B, kinachomata ni elimu ya mtu aliyekaa kwenye nafasi au ni ngazi ya eneo analofanyia kazi.....yaani ukimpeleka injinia akafanyie kazi kijijini, je, utamlipa kwa elimu yake au utamlipa kama mtu anayefanya kazi kijijini.....
Hawa wenye shahada wakilipwa hiyo watajikuta wanashindwa kuandaa taarifa za mapato na matumizi kwa kuwa kila robo itakuwa Salio ZERO. Watakula kila kinachoingia kwenye mapato ya kijiji.Ukilipwa TGS B utakubali ??
Utaacha kulalamika ??
In short watakuwa watu wa malalamiko tu.Hawa wenye shahada wakilipwa hiyo watajikuta wanashindwa kuandaa taarifa za mapato na matumizi kwa kuwa kila robo itakuwa Salio ZERO. Watakula kila kinachoingia kwenye mapato ya kijiji.
Ndo nilichokisema huko juu, kinachokwepa hapo ni kubana mishahara siyo kwamba hayo maeneo yanastahili kuongozwa na watu waliokwepa umande, uwe unaelewa.....Scale za Watendaji wa kata na vijiji unazijua ??
Kigezo kimojawapo ni kua na astashahada,sasa anaombaje huku akiwa na shahada si atawafanya hata wachambuzi wa maombi waone wanao uhalali wa kutoajili wenye shahada,kwasababu hata maelekezo tu hawazingatii.Wewe omba kazi hiyo
Kwani wamekunyima sababu una shahada?
Atalipwa TGS B kwa sababu wanaotakiwa ni wenye astahahada mwenye shahada akiipata hiyo kazi basi kasoma kuanzia astahahada hadi shahada. Kama ana shahada na hana astahahada akiupata utendaji wa kijiji ni bahati yake na atalipwa kama mwenye astahahada.Na kwa nini alipwe hiyo TGS B, kinachomata ni elimu ya mtu aliyekaa kwenye nafasi au ni ngazi ya eneo analofanyia kazi.....yaani ukimpeleka injinia akafanyie kazi kijijini, je, utamlipa kwa elimu yake au utamlipa kama mtu anayefanya kazi kijijini.....
Anyway, kila Mwajiri ana utaratibu wake wa kuajiri kulingana na uzoefu wake.Ndo nilichokisema huko juu, kinachokwepa hapo ni kubana mishahara siyo kwamba hayo maeneo yanastahili kuongozwa na watu waliokwepa umande, uwe unaelewa.....
Mkuu hii point ni KUBWA MNO, wasipokuelewa basi degree zetu zichunguzwe.Kigezo kimojawapo ni kua na astashahada,sasa anaombaje huku akiwa na shahada si atawafanya hata wachambuzi wa maombi waone wanao uhalali wa kutoajili wenye shahada,kwasababu hata maelekezo tu hawazingatii.
Hizo ni kwa Ajili ya WATOTO wa WANYONGE hata kama Ana Degree 3Nimefuatilia sana posti za ajira za utendaji wa mtaa au vijiji sijawahi kuona wakiunganisha kigezo cha shahada kwenye sifa za kazi hiyo na nyingine 50 zimetangazwa wilaya ya Ilemela wanahitaji astashahada tu
Naona kusoma sana sasa hakuna maana Tanzania enzi za mwl Nyerere alithamini sana wasomi hata kipindi cha Rais JK ila kwasasa ni kupoteza muda na kufanya kila msomi kuwa mwanasiasa.
Kwa hiyo kuongoza wanakijiji elfu tano ni kazi ndogo siyo? Kitovu cha kwanza cha maendeleo hapa nchini ni vijiji au mitaa. Ni maajabu sana kuweka mtu mwenye cheti, ambaye hana hata uwezo wa kutafsiri sheria mbalimbali za nchi, kuongoza watu elfu tano. Ndiyo maana vijiji vingi vimedumaa kwa umasikini.Serikali ipo sahihi, kumwajiri mtu mwenye shahada kuwa mtendaji wa kijiji/kata ni anasa na matumizi mabaya ya taaluma. Shahada ni kiwango kikubwa sana cha elimu, by the way umeona ngazi ya mshahara wa mtendaji wa kijiji?? Wewe tafuta kazi ya saizi yako...!
Basi wewe jiongoze wewe uwe tajiri wa mfano kuliko kusubiri ukaongoze kijiji kitajirike.Kwa hiyo kuongoza wanakijiji elfu tano ni kazi ndogo siyo? Kitovu cha kwanza cha maendeleo hapa nchini ni vijiji au mitaa. Ni maajabu sana kuweka mtu mwenye cheti, ambaye hana hata uwezo wa kutafsiri sheria mbalimbali za nchi, kuongoza watu elfu tano. Ndiyo maana vijiji vingi vimedumaa kwa umasikini.
True.Yaani mtu umesoma SHAHADA YAKO halafu unalilia kwenda kuwajibika kwa mwenyekiti wa kijiji? Ambao wengi wao ni la Saba. Walioweka hivyo vigezo waliyajua yote haya kwamba kuna ngazi wakiajiriwa hao wasomi ni kupeleka migogoro katika jamii.