Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Sasa hivi kuna vijana wengi sana ni VEO/WEO.Na shahada yako wakupe 390K utawezana?
Kwanza now days hawachukui astashahada( cheti) wanachukua level 5 ambayo ni diploma 1.
Kama una wito na kuwa VEO/ MEO chukua vyeti vyako vya secondary ukasome., ganda lako la bachelor weka kabatini.
Na hawa watu wana akazi nyingi sana zinazohusisha watu kila siku.
Bila VEO/WEO kazi za DEDs haziendi.
Ila sasa vijiji na kata nyingi ni porini mnooo ndio maana kazi hizi zinahitaji WITO.
Otherwise unaweza kuajiriwa kila siku ukawa unalalamika unaishi porini, hakuna nyumba na mshahara ni mdogo.