palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,455
nani anataka dhuluma?
Wadau,
taarifa toka kwa mdau wa wizara ya elimu zinaeleza kuwa anytime kama walimu wataendelea kugoma, huenda serikali sikivu ikatangaza ajira za ualimu kwa watu wenye shahada zisizo za ualimu. kama taarifa hii ni ya kweli basi wadau wasio na ajira waandae vyeti.
Wadau,
ndiyo vizuri maana silabusi zitaisha kwa mwezi mmoja badala ya mwaka.
nani akachafuke chaki na kupiga kelele kutwa nzima halafu mshahara kidogo.......,fupa lililomshinda fisi mi sitaliweza,.......Bora niendelee na biashara yangu ya vitumbua inanilipa zaidi ya ualimu
Hoja hii imeungwa mkono mkuu.