indundidotcom
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 229
- 226
Jamani naomba kujuzwa maana huku nilipo n mbali na mtandao, nasikia rais katangaza ajira kada ya ualimu, kwamba watu waombe je Ni kweli?
Na vipi tunaomba kwa anuani upi?!
Na wanahitajika Ni sayansi tu au wote?!
Na zoezi hili litaisha lini?! (Deadline)
Msaada tafadhali maana Hali so shwali kutaa
Ahsante
Na vipi tunaomba kwa anuani upi?!
Na wanahitajika Ni sayansi tu au wote?!
Na zoezi hili litaisha lini?! (Deadline)
Msaada tafadhali maana Hali so shwali kutaa
Ahsante